Kwanini mshahara wa Serikali haukai ?

Kwanini mshahara wa Serikali haukai ?

Ser
Watumishi wa umma wengi ni maskini kabisa na huwa wanastaafu maskini kiasi cha kusababisha msongo wa mawazo na kufa mapema.

NUnakuta mtu anaishi kwa mshahara tu miaka nenda rudi bila kuanzisha kaproject kokote ka kunogesha maisha.

Unaweza kulima au kufuga hata tukuku vikakusaidia. Mtu hata kibanda hana , hata genge la nyanya hana.

N mshahara ukitoka siku 2 tu umeshaisha. Ikifika tarehe 10 watu huishi maisha ya kuganga ganga njaa sana.

Watu wamekuwa waoga sana katika kuwa na mradi.

Kopa fanya miradi upate pesa zaidi.

Si
Sijui kwa nn mshahara wa serikali unaishaga mapema sana.
Serikzli ya ccm hailipi mishahara Bali posho ya kumfanya mtumishi asife !! Infact ni serikali chovu na hasa hii awamu ya tano imeshindwa kuongeza mishahara na haitaweza muda utaongea
 
Suala la mshahara kuisha mapema ni matumizi ya mtu binafsi usilaumu mshahara wa serikali..

Kipindi nimeajiriwa mshahara ukiingia kwenye account siendi kazini siku mbili za mbele ni mwendo wa kutumia

Sioni sababu ya kumlaumu mwajiri wangu angali wengine walifanya maendeleo
 
Ukichana na matumizi yako mwenyewe.. Mshahara wa serikali ni kama posho tu.
Hasa kwa hawa watumishi wa chini km walimu n.k
 
Back
Top Bottom