Kwanini mshahara wa Serikali haukai ?

Kwanini mshahara wa Serikali haukai ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Watumishi wa umma wengi ni maskini kabisa na huwa wanastaafu maskini kiasi cha kusababisha msongo wa mawazo na kufa mapema.

NUnakuta mtu anaishi kwa mshahara tu miaka nenda rudi bila kuanzisha kaproject kokote ka kunogesha maisha.

Unaweza kulima au kufuga hata tukuku vikakusaidia. Mtu hata kibanda hana , hata genge la nyanya hana.

N mshahara ukitoka siku 2 tu umeshaisha. Ikifika tarehe 10 watu huishi maisha ya kuganga ganga njaa sana.

Watu wamekuwa waoga sana katika kuwa na mradi.

Kopa fanya miradi upate pesa zaidi.

Si
Sijui kwa nn mshahara wa serikali unaishaga mapema sana.
 
Suala la mshahara kuisha mapema ni matumizi ya mtu binafsi usilaumu mshahara wa serikali..

Kipindi nimeajiriwa mshahara ukiingia kwenye account siendi kazini siku mbili za mbele ni mwendo wa kutumia

Sioni sababu ya kumlaumu mwajiri wangu angali wengine walifanya maendeleo
 
Mshahara wa Serikali haukai kwa sababu watumishi walipwa bila kufanya kazi stahiki, mtumishi anaenda ofisini siku 30 lakini kazi aliyoifanyia serikali haizidi siku 5 hivyo siku 25 analipwa bila kufanya kazi .Watumishi wa Serikali kinachowasaidia ni wizi na rushwa tu sio mshahara.
Watumishi wa umma wengi ni maskini kabisa na huwa wanastaafu maskini kiasi cha kusababisha msongo wa mawazo na kufa mapema.

NUnakuta mtu anaishi kwa mshahara tu miaka nenda rudi bila kuanzisha kaproject kokote ka kunogesha maisha.

Unaweza kulima au kufuga hata tukuku vikakusaidia. Mtu hata kibanda hana , hata genge la nyanya hana.

N mshahara ukitoka siku 2 tu umeshaisha. Ikifika tarehe 10 watu huishi maisha ya kuganga ganga njaa sana.

Watu wamekuwa waoga sana katika kuwa na mradi.

Kopa fanya miradi upate pesa zaidi.

Si
Sijui kwa nn mshahara wa serikali unaishaga mapema sana.
 
Mshahara kuisha mapema ndivyo Serikali ya awamu ya tano inavyotaka ili uitegemee kwa kila kitu na ikukoromee kwanamna yoyote.Hii awamu haina huruma na mfanyakazi katika kuongeza maslahi
 
Mkuu mpimamstaafu hivi unaelewa ulichokiandika? Unazungumzia mtumishi wa aina gani? We ni mtumishi?
 
Hivi kapaja kasungura unawezaje kukala mwezi mzima. Tuweke siasa pembeni hakuna mshahara unaotosheleza, mtumishi. Jinsi kipato kilivyo ndivyo matumizi yalivyo.
 
Tatizo si msharaha wa serikali....bali tatizo ni wafanyakazi wenyewe. Asilimia 85% ya wafanyakazi hao, wamekubwa na jini la uoga wa kuwekeza na huku wakikumbatiwa na fikra hasi ya kwamba..."mwisho wa mwezi nitapata changu". Jambo linalowapelekea kupoteza muelekeo wa maisha yao, hasa pale wakija kupata matatizo kazini, yatakayowafanya wasimamishwe au wafukuzwe kazi au hata wafikiapo wakati wa kustaafu kwako.

Nadhani kuna haja ya kubadili hii hali, kama kweli tunania ya kuelekea katika uchumi wa kati.
 
Watumishi wa umma wengi ni maskini kabisa na huwa wanastaafu maskini kiasi cha kusababisha msongo wa mawazo na kufa mapema.

NUnakuta mtu anaishi kwa mshahara tu miaka nenda rudi bila kuanzisha kaproject kokote ka kunogesha maisha.

Unaweza kulima au kufuga hata tukuku vikakusaidia. Mtu hata kibanda hana , hata genge la nyanya hana.

N mshahara ukitoka siku 2 tu umeshaisha. Ikifika tarehe 10 watu huishi maisha ya kuganga ganga njaa sana.

Watu wamekuwa waoga sana katika kuwa na mradi.

Kopa fanya miradi upate pesa zaidi.

Si
Sijui kwa nn mshahara wa serikali unaishaga mapema sana.
sasa mkuu utakaaje kwa kale kautaratibu ulikoombea ushauri
 
Mishara za africa asilimia kubwa siyo rafiki. Mishara ya serikali mateso ya kweli kweli
 
Watumishi wa umma wengi ni maskini kabisa na huwa wanastaafu maskini kiasi cha kusababisha msongo wa mawazo na kufa mapema.

NUnakuta mtu anaishi kwa mshahara tu miaka nenda rudi bila kuanzisha kaproject kokote ka kunogesha maisha.

Unaweza kulima au kufuga hata tukuku vikakusaidia. Mtu hata kibanda hana , hata genge la nyanya hana.

N mshahara ukitoka siku 2 tu umeshaisha. Ikifika tarehe 10 watu huishi maisha ya kuganga ganga njaa sana.

Watu wamekuwa waoga sana katika kuwa na mradi.

Kopa fanya miradi upate pesa zaidi.

Si
Sijui kwa nn mshahara wa serikali unaishaga mapema sana.
Kwa sababu ya Chuma ulete.
 
Back
Top Bottom