Naombeni tutafakari ni kwanini Mpendazoe hakupewa mafao yake ya ubunge wakati ule,Lakini Zitto anapewa?
Hili si jambo la kupuuza kwa ustawi wa Demokrasia yetu na sheria za nchi.
Ni vema tujadili kujua kama bunge letu lina upendeleo wa sheria au kanuni?
Tujiulize angekuwa Lissu Mnyika,Wenje au Mnyaa wangepewa?
*************** Majibu kutoka kwa
Zitto ****************