toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,766
Leo Dsm temperature inaambiwa ni 33 degree na Moshi nako ni 33 degree. Juzi kati joto moshi lilifika 34 wakati huo dsm likiwa 32.
Moshi inaendelea kuvunja rekodi, kuna mwaka nadhani miaka ya juzi juzi moshi ilivunja rekodi kama mji wenye viwango vya joto kuzidi miji yote ya Africa nzima nakumbuka hii post

.
Kulingana na utabiri wa hali ya hewa uliorushwa na TBC1 jana usiku mjini wa Moshi leo utakuwa na joto kali kuliko yote afrika. Mjini unaofanana na Moshi utakuwa na Niamey,Niger.
Jamani sijui barafu ya Mlima Kilimanjaro itapona?
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Moshi kuna joto kali sana mpaka milimani bora hata Dar, joto litaua watu huku.
Nashindwa kuelewa kwanini Moshi iwe na joto sawa na Dar? Kunanini huko Kilimanjaro?
Moshi inaendelea kuvunja rekodi, kuna mwaka nadhani miaka ya juzi juzi moshi ilivunja rekodi kama mji wenye viwango vya joto kuzidi miji yote ya Africa nzima nakumbuka hii post


.Kulingana na utabiri wa hali ya hewa uliorushwa na TBC1 jana usiku mjini wa Moshi leo utakuwa na joto kali kuliko yote afrika. Mjini unaofanana na Moshi utakuwa na Niamey,Niger.
Jamani sijui barafu ya Mlima Kilimanjaro itapona?
Moshi yaongoza kwa joto kali Afrika
Kulingana na utabiri wa hali ya hewa uliorushwa na TBC1 jana usiku mjini wa Moshi leo utakuwa na joto kali kuliko yote afrika. Mjini unaofanana na Moshi utakuwa na Niamey,Niger. Jamani sijui barafu ya mlima kilimanjaro itapona. Souce:TBC1
Moshi kuna joto kali sana mpaka milimani bora hata Dar, joto litaua watu huku
Aisee Moshi kuna joto balaa yaani sijui nisemeje mchana ndani wala nje hapakaliki huko milimani ndo usiseme Mungu wangu heri hata Dsm ila sio kwa joto jili la Moshi aisee maana si usiku wala si mchana.
Moshi kuna joto kali sana mpaka milimani bora hata Dar, joto litaua watu huku.
Nashindwa kuelewa kwanini Moshi iwe na joto sawa na Dar? Kunanini huko Kilimanjaro?