Hamna kitu kinachoniuma kama kuona hawa wajumbe wa CCM kuchukua VITAMBULISHO vya watu na kwenda kunakili namba za VITAMBULISHO, kama mnajiamini, na kama mnaona mnapendwa acheni kuchukua VITAMBULISHO VYA watu, wote tusubiri october wananchi wenyewe tuzungumze.
Kila mtu ana KITAMBULISHO chake wewe unataka kuchukua cha kwangu kwa mantiki ipi?
JAMAN NAOMBENI TUTUNZE KADI ZETU ZA KURA, USIKUBALI KUMPA MTU KADI YAKO
Kila mtu ana KITAMBULISHO chake wewe unataka kuchukua cha kwangu kwa mantiki ipi?
JAMAN NAOMBENI TUTUNZE KADI ZETU ZA KURA, USIKUBALI KUMPA MTU KADI YAKO