Kwanini? Mmeteleza

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Uhakiki wa vyeti vya kitaaluma ulipaswa kuwa wa haki. Uhakiki ulipaswa kuwahusu wote wanaopokea mishahara ya kiserikali. Kuwaacha pembeni Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa Wilaya na kadhalika si sahihi na ni kuwaangusha watanzania. Watanzania watashtushwa sana na hili.

Hoja hapa si kujua kusoma na kuandika. Hoja ni kughushi cheti cha kitaaluma. Hoja ni kudai kuwa una cheti/sifa fulani wakati huna. Hoja hapa ni jinai inayoendena na kughushi cheti. Kusema una shahada, stashahada au astashahada ndiko kunakoambatana na uteuzi wako katika nafasi fulani. Ni kosa kubwa kuwaacha wateule wa Rais pembeni katika uhakiki wa vyeti vya kitaaluma.

Kwanini tuache Rais wetu azungukwe na kuwaamini matapeli wa kitaaluma? Kwanini tumuache Rais wetu alaghaiwe na wasaidizi wake kuwa wana taaluma fulani wakati hawana? Rais na Waziri Kairuki, mtaikumbuka siku ya leo kama siku mliyowaangusha watanzania na kuwaonesha ubaguzi wa wazi wa kiserikali. Mmefanya kosa kubwa.

Ndiyo maana Waziri Kairuki ulikuwa 'unajishtukia'. Haukujiamini. Nilikukazia sana macho pale Ukumbini. Nilitikisa na kichwa changu. Matapeli wakubwa ni walioachwa kwenye uhakiki wa vyeti kwakuwa wao ndiyo wanaopokea mishahara minene na minono. Wao ndiyo wakitapeli wana athari kwa taifa kwa ujumla. Hamkuwatendea haki watumishi wengine na watanzania kwa ujumla.

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Uhakiki wa vyeti vya kitaaluma ulipaswa kuwa wa haki. Uhakiki ulipaswa kuwahusu wote wanaopokea mishahara ya kiserikali. Kuwaacha pembeni Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa Wilaya na kadhalika si sahihi na ni kuwaangusha watanzania. Watanzania watashtushwa sana na hili.

Hoja hapa si kujua kusoma na kuandika. Hoja ni kughushi cheti cha kitaaluma. Hoja ni kudai kuwa una cheti/sifa fulani wakati huna. Hoja hapa ni jinai inayoendena na kughushi cheti. Kusema una shahada, stashahada au astashahada ndiko kunakoambatana na uteuzi wako katika nafasi fulani. Ni kosa kubwa kuwaacha wateule wa Rais pembeni katika uhakiki wa vyeti vya kitaaluma.

Kwanini tuache Rais wetu azungukwe na kuwaamini matapeli wa kitaaluma? Kwanini tumuache Rais wetu alaghaiwe na wasaidizi wake kuwa wana taaluma fulani wakati hawana? Rais na Waziri Kairuki, mtaikumbuka siku ya leo kama siku mliyowaangusha watanzania na kuwaonesha ubaguzi wa wazi wa kiserikali. Mmefanya kosa kubwa.

Ndiyo maana Waziri Kairuki ulikuwa 'unajishtukia'. Haukujiamini. Nilikukazia sana macho pale Ukumbini. Nilitikisa na kichwa changu. Matapeli wakubwa ni walioachwa kwenye uhakiki wa vyeti kwakuwa wao ndiyo wanaopokea mishahara minene na minono. Wao ndiyo wakitapeli wana athari kwa taifa kwa ujumla. Hamkuwatendea haki watumishi wengine na watanzania kwa ujumla.

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Angalia usijetolewa BASTOLA mkuu

Ova
 
Hakika hizi dhambi ipo siku zitawatafuna tu, haiwezekani wote walipwe mishahara na serikali ila linapokuja swala la uhakiki wa kitaaluma wanyonge wakaguliwe na wengine walindwe. Hili swala halikubaliki na Magufuli tayari umefel katika kila jambo isipokuwa katika kuwalinda akina bashite and co
 
Ngoja niende duka la vitabu vya serikali nikanunue katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania niisome kwa kina kabla sijacomment hapa
 
Mpango ulikua mzuri lakini umetekelezwa vibaya,kuwabana watu wa chini na kuwaacha wengine wakubwa ni ubaguzi mbaya.polen sana mliokutana na kisu cha ngariba,kawatandika bila ganzi,
 
Magufuli utawala wako hautendi Haki, na hii utakurejersha nyuma sana na hutofanikiwa kwa mengi
Sasa cjui hao waliosema wanavyeti vya kuforge hawajui kusoma na kuandika
Uhakiki wa vyeti vya kitaaluma ulipaswa kuwa wa haki. Uhakiki ulipaswa kuwahusu wote wanaopokea mishahara ya kiserikali. Kuwaacha pembeni Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa Wilaya na kadhalika si sahihi na ni kuwaangusha watanzania. Watanzania watashtushwa sana na hili.

Hoja hapa si kujua kusoma na kuandika. Hoja ni kughushi cheti cha kitaaluma. Hoja ni kudai kuwa una cheti/sifa fulani wakati huna. Hoja hapa ni jinai inayoendena na kughushi cheti. Kusema una shahada, stashahada au astashahada ndiko kunakoambatana na uteuzi wako katika nafasi fulani. Ni kosa kubwa kuwaacha wateule wa Rais pembeni katika uhakiki wa vyeti vya kitaaluma.

Kwanini tuache Rais wetu azungukwe na kuwaamini matapeli wa kitaaluma? Kwanini tumuache Rais wetu alaghaiwe na wasaidizi wake kuwa wana taaluma fulani wakati hawana? Rais na Waziri Kairuki, mtaikumbuka siku ya leo kama siku mliyowaangusha watanzania na kuwaonesha ubaguzi wa wazi wa kiserikali. Mmefanya kosa kubwa.

Ndiyo maana Waziri Kairuki ulikuwa 'unajishtukia'. Haukujiamini. Nilikukazia sana macho pale Ukumbini. Nilitikisa na kichwa changu. Matapeli wakubwa ni walioachwa kwenye uhakiki wa vyeti kwakuwa wao ndiyo wanaopokea mishahara minene na minono. Wao ndiyo wakitapeli wana athari kwa taifa kwa ujumla. Hamkuwatendea haki watumishi wengine na watanzania kwa ujumla.

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Yaani ni mbaya sana hakika, ina maana wateule wote hao waliotajwa ni ruksa kufoji vyeti au kutokuwa na vyeti, lakini 'senema' yote hii ni kumuepusha mtu mmoja tu na jela! Ya nini yote haya, Rais wangu Magufuli kweli kabisa roho yako i-radhi juu ya hili? Hakika jpili ukienda kanisani kusali moyo wako hauumi juu ya hili sakata? Kweli Rais wangu? Wewe ni mkristu nikiwa kama mkristu najua ninachokisema, hasa ninapokuona kanisani wakati kabisa unajua mwenyewe unatenda nini juu ya hili! Tunapenda sana kukuombea kama unavyosema ila mbona unatupa wakati mgumu sasa Rais wangu?

Binadamu tunatenda dhambi kwa namna fulani lakini mzee wangu dhambi ya wazi wazi kabisa jamani? Kwanini lakini?

Mbona inasikitisha sana hii mzee wangu Rais.
 
Mkuu sijakuona siku nyingi Sana, vipi lakini salama? VUTA-NKUVUTE , Kuhusu hii issue Ni kwamba Kuna siku atakuja kutuomba Msamaha jukwaani, lakini PIA Membe alisema Ni rahisi Sana kumtumbua mtu usiyemjua, kwa lugha nyingi Damu(kabila) Ni nzito kuliko maji.
 
Uhakiki wa vyeti vya kitaaluma ulipaswa kuwa wa haki. Uhakiki ulipaswa kuwahusu wote wanaopokea mishahara ya kiserikali. Kuwaacha pembeni Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa Wilaya na kadhalika si sahihi na ni kuwaangusha watanzania. Watanzania watashtushwa sana na hili.
Kweli kabisa, na tatizo pia kwa wale wabunge wanaojuwa kusoma na kuandika kwa shida..Maana hawa watamsimamia vipi mtumishi wa umma mwenye Phd/MA au Degree bungeni?! Wataweza kuelewana kweli?! Hapa Serikali imechemsha na iangalie upya huu mchakato...Inatakiwa wote waliojariwa na wanalipwa na serikali...
 
Back
Top Bottom