Kwanini mkulima anadhaniwa ni mtu masikini katika jamii

Kwanini mkulima anadhaniwa ni mtu masikini katika jamii

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,575
Reaction score
31,012
Hii dhana ni potofu, sio kila mkulima ni masikini mimi naona jamii ielimike maana ukulima ni kazi na biashara kama zingine unazozijua. MO dewji ni mkulima wa mikonge tanga huko, marehemu Mengi alikuwa na mashamba ya miwa zaidi ya hekali elfu tano, Seif mmiliki wa kiwanda cha sukari ya Mtibwa ana mashamba ya miwa makubwa huko Morogoro, watu wanalima hekali zaidi ya elfu kumi za mpunga halafu utakuta mtu anasema wakulima ni masikini.

Ili mtoto apate mkopo loan board basi atasema mimi ni mtoto wa mkulima ili serikali ijue huyu ni fukara. Mimi mtu akisema ni mkulima huwa namuoma ana maisha mazuri labla mpaka yeye ndoaseme ni mkulima ila maisha yake sio mazuri.

Hii tabia ya kuandamine wakulima wanayo serikali ya ccm, kuona wakulima wanahali ngumu ni kuwatenga nakuwaumiza kisaikolojia.

images%20(100).jpg
 
Kwani walimu wote hawana maisha mazuri??
Uliwashambulia walimu leo unawatetea wakulima kwa sababu zilezile za waliokua wanawatetea walimu.
 
Ni kweli mpaka hapo mazingira ya mkulima kupata uhakika wa soko la bidhaa anayozalisha ndipo hiyo dhana itatoweka

Lakini akiendelea kuzalisha na mwishoni kukopwa bidhaa anayozalisha ataendelea kuwa maskini
 
Hii dhana ni potofu, sio kila mkulima ni masikini mimi naona jamii ielimike maana ukulima ni kazi na biashara kama zingine unazozijua. MO dewji ni mkulima wa mikonge tanga huko, marehemu Mengi alikuwa na mashamba ya miwa zaidi ya hekali elfu tano, Seif mmiliki wa kiwanda cha sukari ya Mtibwa ana mashamba ya miwa makubwa huko Morogoro, watu wanalima hekali zaidi ya elfu kumi za mpunga halafu utakuta mtu anasema wakulima ni masikini.

Ili mtoto apate mkopo loan board basi atasema mimi ni mtoto wa mkulima ili serikali ijue huyu ni fukara. Mimi mtu akisema ni mkulima huwa namuoma ana maisha mazuri labla mpaka yeye ndoaseme ni mkulima ila maisha yake sio mazuri.

Hii tabia ya kuandamine wakulima wanayo serikali ya ccm, kuona wakulima wanahali ngumu ni kuwatenga nakuwaumiza kisaikolojia.

View attachment 2304408
Mpwayungu Village JF person of the year 2022. The man to watch this year and forever.

Please mtu wangu tulete story ya safari yako ya Juba South Sudan.
 
Back
Top Bottom