Pemba..sababu..dini..tamaduni.Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
acha uongo nimeishi Babati waislam ni wengi sanaPwani 99% waislamu lakini maambukizi ni 5.9 wakati Manyara 99% maambukizi ni 1.5.
Ni kweli hapo kwa swala la hosp. Mdau alidanganywa tu na huyo daktari.Njombe kuna hospitali kubwa na nyingi kuliko Dar?
Njombe kuna watu wengi kuliko Dar?
Hawajui kugegedana, wanaingiliana kwa nguvu na kusababishana michibuko. Matokeo yake Virus vinapata nafasi ya kupenya. Inatakiwa uingie when you are sure that it is wet, and make sure it remains wet until you reach the climax.Rea
Ni kweli hapo kwa swala la hosp. Mdau alidanganywa tu na huyo daktari.
Hizi takwimu kwa mikoa ya Mbeya na Iringa kuwa na rate kubwa ya ukimwi ni toka zamani kabla ya kuwepo kwa mkoa wa Njombe, binafsi naamini awareness bado ni ndogo kwa jamii, mila na desturi, ulevi,umaskini n.k vinachangia kwa kiasi kikubwa.
Siamini kwamba baridi ni sababu, kwani kuna sehemu zina baridi pia lakini rate siyo kubwa.
Kwa hiyo unataka kusemajeNjombe si ndo kuna wakinga wengi
Khaa brazaa hata weweewatu wanabanduana sana hukoo
sister usiwe unasoma kila ninachoandikaKhaa brazaa hata wewee
Sasa unadhani nasoma kwa sababu nataka kusoma? Najikuta tu nimesomasister usiwe unasoma kila ninachoandika
Mm nimefanya kazi kwenye shirika la kupima watu afya. Katika mikoa ya nyanda za juu hakuna mkoa wenye watu wenye mwamko wa juu kupima afya, kama mkoa wa Njombe na ambao ni wawazi. Mfano kila kijiji tulichokuwa tunakwenda utakuta waliojitokeza ni wengi sana. Tofauti na mikoa mingine wengi waoga kupima afya zao. Mfano utakuta kijiji kinawakazi 500, wanaojitokeza kupima afya ni 20. Wakati vijiji vya wilaya ya Makete kinawakazi 300 wanaojitokeza kupima utakuta wapo 280. Sasa kwa uwiano huo lazima itaonekana mkoa wa Njombe unamaambukizi makubwa. Na kingine kinachochangia ni kuwa na Hosptal nyingi kubwa, ambapo wagonjwa wengi wanakwenda kule kutibiwa na kumbukumbu zao zinabaki kule.Mkuu hapo kwenye kuwaita watu wapime kwa lazima nakukatalia. Mm nna uzoefu mkubwa na Njombe.
Tatizo tu mzunguko Mdogo, kidemu kimoja mnaeza mkitandike mijeledi midume hata 20 kwa wiki. Awe mzr mzuri tu
Zanzibar uko wa kumwaga.zanzibar hakuna Ukimwi sababu ya dini islam
haya nisamehe mimi leoSasa unadhani nasoma kwa sababu nataka kusoma? Najikuta tu nimesoma
Hivi hizi takwimu za watu na dini zao mnazitoaga wapi wajameni..!? Khaa!!Pwani 99% waislamu lakini maambukizi ni 5.9 wakati Manyara 99% maambukizi ni 1.5.
Takwimu zinaonyesha maambukizi njombe ni 14.8% na ndo mkoa unaoongoza. Sababu za maambukizi ya VVU kuwa juu ni:- Biashara ya viazi mviringo. Biashara hii huwaleta wafanyabiashara na madereva, matingo wa malory, na makuli ambao hulala vijijini wakikusanya na kupakia viazi. Watu hawa kwa kuwa na fedha hufanya sana ngono zembe na wanawake wa vijijini. Mbili, Tohara kwa wanaume haikwepo kwa Kabila la wabena, pangwa nk. Tatu, idadi ya wanawake mabinti ni ndogo kulinganisha na wanaume. Mkoa huu nazani ndio unaoongoza kwa kutoa house girls wengi Tanzania. Hivyo unakuta mwanamke mmoja anagombaniwa na wanaume kumi na zaidi no way out. Nne, Ulevi hasa kwa wanawake hasa njombe vijijini, na ludewa na makete pia. , Tano, house girls hurudi kwao na VVU na kwa uchache wa wanawake basi kila mwanaume kijijini ata mlala kwa uzuri wake.. Sita, uhaba wa kondomu vijijini. Maduka mengi vijijini hayauzi kondomu. Unaweza tafuta kondomu ludende siku nzima usiipate. Saba, biashara ya mbao nk
Takwimu za kujua kuwa bara la Africa watu wengi ni weusi unazitoa wapi?Hivi hizi takwimu za watu na dini zao mnazitoaga wapi wajameni..!? Khaa!!