geography O level*Nyanda za juu kusini*
High attitude low temperature kachimbe hapo mkuu
Mbona mikoa kama rukwa upo juu kutoka usawa wa bahar lkn hakuna baridi kali kama hili...?Ni kwasababu ipo kwenye 'high altitude', yaan ipo juu sana toka usawa wa bahari. Kwa kila mita moja unayoenda juu toka usawa wa bahari, joto hupungua kwa wastani wa nyuzi joto 0.6. Pia Njombe inaongoza kwa maambukizi ya UKIMWI hapa nchini.
Hilo sijuiMbona mikoa kama rukwa upo juu kutoka usawa wa bahar lkn hakuna baridi kali kama hili...?
Kwa sababu compressor na condensor wanayoitumia ni originalNauliza swali kwann MKOA wa NJOMBE uwe na BARIDI kali kiasi hiki.....? Tofaut na mikoa mingine....??
Mimi niko hapa opposite na Venite, karibu tupunguze baridi kwa ulanzi baridi toka nyamuyuyaMimi niko hagafilo hapa nahisi kupoteza fahamu,..ngoja wajuzi wa nyanda wakuje..
Ahaaaa,.ngoja basi giza likoleeMimi niko hapa opposite na Venite, karibu tupunguze baridi kwa ulanzi baridi toka nyamuyuya
Mimi nipo Mji mwema hapa naona maluwe luweMimi niko hagafilo hapa nahisi kupoteza fahamu,..ngoja wajuzi wa nyanda wakuje..
Mimi nipo melinze hapa nataka niende Chaugingi/KingsMimi niko hapa opposite na Venite, karibu tupunguze baridi kwa ulanzi baridi toka nyamuyuya
Baridi ipo Rukwa kama kawa.Mbona mikoa kama rukwa upo juu kutoka usawa wa bahar lkn hakuna baridi kali kama hili...?
Mkuu unatumia kitimoto?!kama ndiyo agiza hapo kitimoto rost na ndizi kwa bili yakoKwa sababu compressor na condensor wanayoitumia ni original
kwanini dodoma ni nusu jangwaNauliza swali kwanini mkoa wa Njombe uwe na baridi kali kiasi hiki tofauti na mikoa mingine?