[/B]Japo source is occult ukiangalia timing ya EPA, mtiririko wa matukio na uchaguzi wa 2005 waweza tumia bongo kuunganisha lines na kupata mwanga. Nadhani ndo maana JK anapata kigugumizi kuongelea EPA au ufisadi kwa ujumla kwani anajua kuna nini nyuma ya pazia.
Taarifa zaidi zinahitajika.
Hilo ni kweli mkuu, tena hii ukiangalia kwa undani ni kama vile mzee mzima en ameamua kushusha donge lake hapa! si ajabu ndo kapost hii