hiyo ni mbinu mpya ccm kwa taifa la zamani na la kesho>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?
Kwani watoto wanaanzia umri gani? Na ukae ukijua hujatazama peke yako hata sisi tumetazama.... Porojo zako peleka huko kwa mkeo....
wote tumeona watt gani unazungumzia toa upuuzi wako hapa
Huwa wanazoa watoto wa shule kwa lazma,
Kwani watoto wanaanzia umri gani? Na ukae ukijua hujatazama peke yako hata sisi tumetazama.... Porojo zako peleka huko kwa mkeo....
>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?
Umbea huo wote tumeangalia acha kupotosha.>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?
Unataka aitwe na chadema? Au cuf?Rais anaZIngua maji wilayani alafu unaitwa mkutano wa ccm .. Wawapi weye
>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?