Kwanini mikutano ya CCM wanajaa watoto wadogo?

Kwanini mikutano ya CCM wanajaa watoto wadogo?

Ukiona mtu mzima ameenda kwenye mikutano ya ccm ujue ameshakunja posho yake siku hiyo,vinginevyo watoto wanaenda kuangalia wanenguaji katika bendi ya muziki wa dansi au kufokafoka basi,yaani ccm inateseka sana.
 
mkuu bora umenitangulia kulizungumzia hili, maana bila watoto hakuna taifa kesho, na sifa moja wapo ya watoto ni uwezo wao mkubwa wa kutambua wanafiki, watoto ni wapenda amani, wakweli, wanajaa kwenye mikutano ya CCM maana wanajua ni chama chenye malengo mema kwa wanachi wake,wapenda kujifunza kutoka kwa wenye ubora, huwezi ona mtoto mahali penye wahuni, hawakai humo, si ajabu kukuta wavuta bangi na wanywa viroba kwenye mikutano ya cdm maana huko ndio mahali pake, nadhani umeona jinsi kiongozi wao alivyofanya bungeni, uhuni..
Mhuni nambari moko pale bungeni ni yule kijana wa kongwa aliyehamia Tabata. Yeye akikaa pale kwenye kitu anjisahau kabisa kwamba ni mtoto wa ombaomba kule Kongwa. Anatuvurugia bunge aendea akachunge ng'ombe kama wapo kongwa.
 
>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?



Ni kwa sababu watoto wako innocent na ni rahiisi kudanganyika na propaganda za CCM (uwongo na kweli). We unafikiri CCM wanaweza kutuambia/kutushauri wewe na mimi kuwa tuwachague 2015 kwani wanataka kuleta maendeleo ya hajabu? Miaka 50 na kitu yote hii walikuwa wapi?
 
Huwa wanaenda kusikiliza nyimbo za mr. Nice kama ule wa "kikulacho kumbe kinguoni mwako rafiki yako kumbe adui yako"
 
>Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu, inamwonyesha Rais akizindua maji wilayani kwimba jijini mwanza.. Lakini cha kushangaza watoto ni wengi sana na wazee ni wachache! Vijana hakuna kabisa! Kulikoni ccm?
hapo ndipo mtakubali maneno ya Gogo la Shamba kila siku ninawaambieni kwamba ccm imebaki na viongozi tu, haina wanachama na kama kuna wanachama ni wale ambao wanahakikisha wanapata kitu kidogo hata ikiwa kazi inayotakiwa kufanywa ni ya kujitolea
 
wote tumeona watt gani unazungumzia toa upuuzi wako hapa

Usikasirike MKUU. Kuwa na busara kidogo. Ni Ukweli wengi walikuwa ni watoto wadogo na mpiga picha wa ITV alikuwa akirudia rudia kuwaonesha hao watoto
 
Watoto wadogo hupenda kushangaa watu wazima wanapoingilia fani zao.
 
mkuu bora umenitangulia kulizungumzia hili, maana bila watoto hakuna taifa kesho, na sifa moja wapo ya watoto ni uwezo wao mkubwa wa kutambua wanafiki, watoto ni wapenda amani, wakweli, wanajaa kwenye mikutano ya CCM maana wanajua ni chama chenye malengo mema kwa wanachi wake,wapenda kujifunza kutoka kwa wenye ubora, huwezi ona mtoto mahali penye wahuni, hawakai humo, si ajabu kukuta wavuta bangi na wanywa viroba kwenye mikutano ya cdm maana huko ndio mahali pake, nadhani umeona jinsi kiongozi wao alivyofanya bungeni, uhuni..

I could not afford to ignore you... Watoto wameenda kwa kuwa hawajui kuwa ccm ndo chanzo cha matatizo yao ikiwemo ukosefu wa madawati skuli,maishA duni,ukosefu wa elimu bora,na umaskini wa kupindukia wA wazazi wao...
 
Back
Top Bottom