Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Kwani mabondia wa kwa wenzetu huko nako wanakula dona?Sio ngumi tu hata mashindano ya U-miss hamna kwa Zanzibar.
Tukirudi kwenye mada hivi bondia ale urojo ataweza kweli kupambana na anayekula dona?