johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Awamu ya tano sherehe za muungano zilikuwa zikiadhimishwa kwa kufanya usafi bila ukaguzi wa gwaride uwanjani.
Safari hii sherehe zinafanyikia ukumbini kana kwamba ni shughuli ya wanaccm pekee ilhali hata Chadema na ACT wazalendo wanashiriki!
Kwanini lakini?!!
Safari hii sherehe zinafanyikia ukumbini kana kwamba ni shughuli ya wanaccm pekee ilhali hata Chadema na ACT wazalendo wanashiriki!
Kwanini lakini?!!