econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,766
- 21,758
2000 chadema waliunga mkono cuf.
2005 cuf wakakataa kuinfa mkono chadema, na kumbuka kura za Uraisi ndio zilikuwa zinaleta ruzuku.
Na chedema mtei na makani waliutaka wote uraisi chama kikapasuka.
Wazee wakamua bwamdogo mbowe agombee ili kurudisha amani chamani.
So readon hapo ni:-
1. Ugeni wa mbowe kwenye siasa, hakujulikana.
2. Lipumba/cuf walikuwa mzoefu na walikuwa na base tsyari ya 2000.
Lipumba alikuwa ana base tangu 1995.