kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,303
- 17,829
- Thread starter
- #41
wewe ina judge kwa kusikia kwenye redio one... mi majiji yote ya tz nimefika kasoro Tanga tu...
so naona kabisa kwa hadhi ya majiji mengine, mbeya nayo ni jiji...
sifa za jiji ni pamoja na idadi ya watu/makazi, pato la halmashauri, miundombinu, universities availability, shughuli za uzalishaji+viwanda nk...
uwepo wa foleni haipo kabisa kwenye sifa za jiji
Mbeya na Mwanza au Arusha ni sawa?