Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
eti Kuna mtu ameniambia ukiumwa, kisukari, presha, pararaizi, moyo....
#Hayo ni magonjwa ya kitajiri
#Hayo ni magonjwa ya kitajiri
Siku nyingine tumia herufi ndogo,KWA ALIE ELEWA JAMANI NI WADUDU GANI WANAZUNGUMZIWA HAPA.MTOA MADA SIJUI NAE NI TAJIRI
itakuwa kunguni mkuu ndio hao wadudu unaozungumzia?Sijajua kwanini…
Matajiri wengi sana wana wadudu, si wababa, na si wamama ! Ukiona tajiri anakushobokea, jiangalie sana…
Kiukweli maatajiri wengi wana ' wadudu ' wa hatari sana… magonjwa magonjwa jamani…
Weekend njema…
Na vijana wachuo wanakwenda kwa hao mabinti ni chainwanaoumia hasa ni hawa mabinti zetu wa chuo
Ni Dr. usimshushie hadhi yake mkuuHata machache wa pipi media nasikia anao
Man of the peopleThings Fall Apart
So sad ..kuna hitajika maombi na semina au hata sheria ambayo ita break hii circle otherwisr we are doomed.Na vijana wachuo wanakwenda kwa hao mabinti ni chain
Waruguru bwana so mchezoo punje za mpunga zinahusika kudetermine life span yako ya utajiri hatariihaha mkuu vipi matajiri wa morogoro pale
Umiza akili yako utawajua hao wadudu tuu'Wadudu' naona bado sijaelewa.
Mzee baba naona umeandika kwa hasira kubwa ukaposti mara tatu.Mada hizi za kipashkuna zinaishushia hadhi JF
Ni kama wakina mama wakiwa vibarazani wakipiga umbeya.....
Huu ugonjwa haupimwi kwa macho bali kwa vipimo vya kitaalamu!!!!....
Let's us discuss issues with facts and evidence
JF ni jukwaa lenye kuheshimika kwa habari za ukweli na uhakika!!!! Na kisima cha maarifa
Samahani kwa watakaokwazika
Home of Great Thinker
Toka nasoma msingi hii habari nasikia lakini naona anadunda tu. Wabongo wazushi sana.Hata machache wa pipi media nasikia anao