Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Mbowe lazima afike polisi kwa amri ya makondaMkuu Tafadhali Naomba Unipe Hiko Kifungu Cha Sheria Kinampa Makonda Madaraka Kuita Watu Polisi Tafadhali!
Bila Shaka Kamanda Siro Anajua Sheria Inamtaka Afanye Nini Ikiwa Anamuhitaji Mbowe Kwa Mahojiano, Central Polisi.
Sina Shaka Kabisa Na Weledi Wa Kamanda Siro Kuwa Atatumia Utaratibu Maalum Uliopo Kumuita Mbowe
Lakini Kwa Nini Tusihoji Mahakamani Ni Kifungu Gani Kinachompa Mamlaka Paul Makonda?