na wanawake nao wameshajua wanaume wengi wanapenda makalio basi wanavyoyabana ili yaonekane lkn mwisho wa cku wanaturahisishia uchagui kwa ss watumiaji wa makalio makubwa. ila raha ya makalio makubwa ni ku cammeron.
kwenu waungwana!
Kwan iwe hiyo sehem inawavutia wanaume wengi?
Inawakilisha vitu gani?
Da faiza unayatamani ya nini? nimecheka sana kwakweli nami mbavu zinauma sasaLaiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
kwenu waungwana!
Kwan iwe hiyo sehem inawavutia wanaume wengi?
Inawakilisha vitu gani?
Mama yangu!!hi hatari sasa kah.!!mungu saidiaLaiti ungalijuwa kuwa na wanawake wengi huvutiwa na makalio ya wanaume, ungeanza kutafuta "mchina". Binafsi huvutiwa sana na huyatamani makalio ya wanaume.
Mmmmh..so u mean kula uchochoro?? Kutibua kinyesi cha mwenzio..Looh!!!
Kuna baadhi ya wanaume ndio kazi yao. Wanapingiana mitaani kwamba lazima dame fulani nimtoe Kinyesi. Ukiingia kwenye anga zake, ujue kuwa wafanyakazi wa Hotel/guest watakuzuia ukafanye usafi na kufua mashuka:A S embarassed:
waswahili wanasema mwanamke figure jamani haswa figure itawaliwe na makalio ya size ya kati yasizidi sana na kusindikizawa na kiulo laini!
Mwanamke sura,Makalio hata mchina katengeneza...!!
Umenyimwa nini?
Jamani kuna kijana siku moja nimemsikia, nikacheka kutwa nzima kila nikikumbuka huwa nacheka, kasema "mwanamke shuzi!", ikabidi nimuulize ana maana gani? akanambia "mijambo mama ndio muhimu, mwanamke bila mijambo huchosha", sasa hiyo mijambo? mtajza wenyewe. Asiyejuwa maana haambiwi maana.
Hahahhaha....hapana FF sijanyimwa my,namshukuru Mungu vichache alivyonijaalia vinaruhusu kutamba mtaani...MASHALLAH!
Nimeipenda hiyo (maandishi ya bluu)...ila sasa akipenda mijambo ajue kuvumilia na harufu inayotoka huko..maana ukubwa wa makalio nao una-comsume hewa nyingi chafu!
Si kwangu huku!Hahahhaha....hapana FF sijanyimwa my,namshukuru Mungu vichache alivyonijaalia vinaruhusu kutamba mtaani...MASHALLAH!
Nimeipenda hiyo (maandishi ya bluu)...ila sasa akipenda mijambo ajue kuvumilia na harufu inayotoka huko..maana ukubwa wa makalio nao una-comsume hewa nyingi chafu!
Siyo hiyo jamani, mijambo mingiiine kabisa, ndio maana nikasema "asiyejuwa maana haambiwi maana", yaani unayoijuwa ni hiyo tu, Unanchekesha!
Nyie watoto, msinisemeshe mengi.
Si kwangu huku!
Nimepita tu!
Mtoa hoja apaswa kuwa makini. Siyo kila makario ya mwanamke ni kivutio. Sijui kama makario ya mama yake au dada yake hata shemeji yake ni kivutio. Tia akilini jamani. I am just a philosopher.