DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Kwa sasa tunaishi katika dunia ambayo tunaweza kupata kitu tunachohitaji Ila life is so tasteless.
Ukiangalia kila MTU anatafuta furaha katika Pombe , Weed , sex , Entertainment n.k
Kila nikikumbuka those era , life was so great. In term of living watu waliishi pamoja , kutembeleana Ku -have funny kila mwisho wa mwaka n.k
Ila Maisha ya sasa kama yamepoteza ladha kuanzia katika Maisha halisi ya mtaani hadi mitandaoni.
Yaani kila ukihitaji kuufurahia wakati you have to back in past.
Kuanzia Muziki
Kuanzia Chakula
Kuanzia marafiki
Kuanzia ndugu n.k
Watu wanamiliki kila kitu Ila hawana furaha , wapo na Psychomotor impairment
People are so greed now.
The old is gold forever.
🎶Jackson Allan "Remember when"
Ukiangalia kila MTU anatafuta furaha katika Pombe , Weed , sex , Entertainment n.k
Kila nikikumbuka those era , life was so great. In term of living watu waliishi pamoja , kutembeleana Ku -have funny kila mwisho wa mwaka n.k
Ila Maisha ya sasa kama yamepoteza ladha kuanzia katika Maisha halisi ya mtaani hadi mitandaoni.
Yaani kila ukihitaji kuufurahia wakati you have to back in past.
Kuanzia Muziki
Kuanzia Chakula
Kuanzia marafiki
Kuanzia ndugu n.k
Watu wanamiliki kila kitu Ila hawana furaha , wapo na Psychomotor impairment
People are so greed now.
The old is gold forever.
🎶Jackson Allan "Remember when"