zanzibar huru
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 218
- 108
Kwa nini hawa mawaziri bado wapo ndani ya CCM ambayo ni chama cha mafisadi?
Na wana JF karibuni wote wanaamini kuwa CCM ni chama kibovu na hakifai sasa hawa mawaziri wanafanya nini ndani ya kile chama?
Itawezekana kweli mtu uka enjoy matunda ya chama cha mafisadi bila ya wewe kuwa fisadi?
Na wana JF karibuni wote wanaamini kuwa CCM ni chama kibovu na hakifai sasa hawa mawaziri wanafanya nini ndani ya kile chama?
Itawezekana kweli mtu uka enjoy matunda ya chama cha mafisadi bila ya wewe kuwa fisadi?