Kwanini Magazeti yanampuuza Kingwangalla?

Kwanini Magazeti yanampuuza Kingwangalla?

Ili tujue Kama kakosea kwani wafanyakazi wa serikalini wansingia mda gani kazini na kutoka ni mda gani kisheria?.
 
wapga mzigo akna magufuli enz zao walkuwa wanapga mzgo bla matangazo lakn waljulikana huyu mwehu anabeba wanahabari anaenda nao site hahaaaa ujana maji ya moto

Mkuu hapo kwenye nyekundu = Ngumi ya usoni.
 
Najiuliza juhudi zinazofanywa na huyu Waziri kwanini zipuuzwe kiasi hiki? Katika magazeti yote ni habari leo peke yake limekuja na habari ya kufungia wafanyakazi nje saa moja na nusu asubuhi.

Kigwangala na ajifunze sasa kupuuzwa huku sio bure,najiuliza hizo kamera anazoenda nazo huko site zimekuwa zimeandaliwa au ni waandishi wanamsubiri getini asubuhi.

Waziri aache kuingilia kazi za watu walio chini yake,ampe jukumu HR ni majukumu yake
Hivi we mwanamke ni lini utaacha uongo?
 
Nilishasema km kuna sehemu Mh Magu aliyochemka kwenye uteuzi wake ni hii wizara utoto mwingi ni bora wangeenda wizara habari wasanii na michezo kuliko pale,to be honestry Dr hapa amechemka kiuteuzi mf km ummi tantarira nyingi bado angepaswa kuwa naibu habari nasi wizara nyeti na muhimu km ya Afya.
 
Maigizo ya mawazir wajpm,mikoan hatuon hivi huku full shangwe.Serikal ya darisalaama,cjui watz wako dar tu.
 
Kigwangala hajawah kudumia umma,alikuwa na mama salma wama,hajui kitu yule,aendelee na maigizo tu.Wizara ya afya imepata mawazir wasiyojua yaliyomo kwenye afya.
 
Najiuliza juhudi zinazofanywa na huyu Waziri kwanini zipuuzwe kiasi hiki? Katika magazeti yote ni habari leo peke yake limekuja na habari ya kufungia wafanyakazi nje saa moja na nusu asubuhi.

Kigwangala na ajifunze sasa kupuuzwa huku sio bure,najiuliza hizo kamera anazoenda nazo huko site zimekuwa zimeandaliwa au ni waandishi wanamsubiri getini asubuhi.

Waziri aache kuingilia kazi za watu walio chini yake,ampe jukumu HR ni majukumu yake

Ni aibu kwa waziri kushughulikia vitu operational.
Kama waziri anakagua attendance badala ya ufanisi afisa utawala atafaya nini sasa.Ninaanzaa kuhisi mawaziri wetu hawana jd
 
Dada ngoja ufike wakati wako wa kujifungua alafu uende hospital ukakute hamna daktari ndo utajua umuhimu wa alichofanya Kigwangala,,,, hii nchi inasikitisha sana kuona uchama umetugawa kiasi kwamba anachofanya mpinzani wako hata kama ni shaihi unaona si sahihi!

Kumbe hawa wafanyakazi wanafanya watakayo huko maofisini wakijua Mitanzania ni mijinga, haitafanya lolote, na mtu akitokea kujaribu kuwaweka sawa, watatetewa na Mitanzania hiihii inayolalamikia huduma mbovu!

Mkuu, mfano mzuri ni pale traffic anapo simamisha basi ili akague na kuwauliza abiria kama kuna tatizo lolote na mwendo upo poa. Utaona abiria wote wanang'aka aah! Unatuchelewesha!!! Ajali ikitokea hiyo hiyo mijitu iliyong'aka inakuwa ya kwanza kulalamika na kulaumu traffiki. Mitanzania bwana!!!
 
Ili tujue Kama kakosea kwani wafanyakazi wa serikalini wansingia mda gani kazini na kutoka ni mda gani kisheria?.

wanaingia saa moja na nusu lakini mstari mwekundu saa 2. Mwajiri ana weza kujumlisha vimuda ulivozidisha kupata masaa ya siku moja ya utoro.
 
huo ni uigizaji tu. wanochelewa na kuwa na athari kubwa ni hospital na si wizarani. lakini pia tatizo la wizaran si uchelewaji hata kidogo. tatizo lipo kubwa na si uchelewaji kama kigwangala anavyotaka kutuaminisha. na huu uigizaji wa kuwakusanya waandishi ili mawaziri wakafanye matukio flan huu si utendaji makini. na nchi hii tatizo lake halikuwa matamko kuwa sasa kila waziri aje na tamko. kuna mambo mengi ambayo walipaswa wayafanye na si kukurupuka. nina waswas na mwisho wa harakati hizi za matamko na kushtukiza watu kwa minajiri ya kuwaumbua na kuwadhalilisha
 
Najiuliza juhudi zinazofanywa na huyu Waziri kwanini zipuuzwe kiasi hiki? Katika magazeti yote ni habari leo peke yake limekuja na habari ya kufungia wafanyakazi nje saa moja na nusu asubuhi.

Kigwangala na ajifunze sasa kupuuzwa huku sio bure,najiuliza hizo kamera anazoenda nazo huko site zimekuwa zimeandaliwa au ni waandishi wanamsubiri getini asubuhi.

Waziri aache kuingilia kazi za watu walio chini yake,ampe jukumu HR ni majukumu yake
Hii taarifa ni vyema ikatoka kwenye magazeti ya udaku. Inawezekana hata usingizi hakupata kwa sababu kya kuwahi getini. Waziri kusimama getini unakagua nani yupo na hayupo. Naona sasa hata vyeo vyenyewe tunaviaibisha!
 
shida ya kigangwala ni kuuza sura. hata mwaka Jana alipiga picha akiwa kwenye Pikipiki akidai na yeye ni mtu wa chini
 
Huwezi jua labda ana gundu la kuzaliwa nalo hata afanye jema gani halionekani kwa wengim
 
Kama kuchelewa kazini ni tatizo basi abuni mfumo wa kuwafanya watu wawahi kazini nchi nzima katika hospitali zote.Sio kufanya ukorokokoroni ili apata umaarafu katika vyombo vya habari.

Unajua impact ya kuandika maelezo kuwa umechelewa kazini af yawekwe kweny faili lako? Kama hujui basi waulize hao walioandikishwa wakuambie km wataxhelewa tn
 
kwani tanzania ni dar es salaam tu mbona kila mpenda sifa anafanyia dar huku mikoani mbona wametutenga walete sifa zao tuwashangilie
 
Kwani wakati magufuli akiwa waziri uliwahi kusikia akiandikwa andikwa na magazeti?
 
Najiuliza juhudi zinazofanywa na huyu Waziri kwanini zipuuzwe kiasi hiki? Katika magazeti yote ni habari leo peke yake limekuja na habari ya kufungia wafanyakazi nje saa moja na nusu asubuhi.

Kigwangala na ajifunze sasa kupuuzwa huku sio bure,najiuliza hizo kamera anazoenda nazo huko site zimekuwa zimeandaliwa au ni waandishi wanamsubiri getini asubuhi.

Waziri aache kuingilia kazi za watu walio chini yake,ampe jukumu HR ni majukumu yake

Ndiyo maana Watanzania wanaitwa waswahili, kazi kuongea tu. Hata uwape nini, watakupiga majungu. Let the guy do his job. Jamaa hana hata mwezi kazini wameisha anza piga domo. Mmezoea viongozi ma-bishoo kama JK na EL. Kazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom