Kwanini Madikteta hupenda sana kusifiwa?


Shida ni kujua kama unachowazA Wewe ndo wanavyowaza hao unaowaita madikteta. Kuhusu kusifiwa hata wewe unasubiria kusifiwa kwa pumba ulizoandika hapa. Dunia nzima unazungumzia Corona, wewe unakuja na mada ya kijinga ambayo haina impact yoyote kwa jamii na Shida zake. Wewe Itakusaidia nini kujua Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu. Au kuhusu ruzuku ya chama. Itakusaidia nini kujua JPM Yuko likizo ya Pasaka home. So tell us more about how a simple Tanzanian can be responsible in protecting not only him or herself against COVID-19 but more so people around him or her ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe ndo una akili sana kuliko Jiwe aliye kwambia Msitishane huko Lumumba kwaajili ya Corona?. Hebu ficha ujinga wako jibu swali kwa nini Madikteta hupenda sana kusifiwa? Halafu mbona umepanik wewe? Kwani kuna jina la dikteta limetajwa hapo unaye mfaham umeina sifa hizo zinaringa na sifa za dikteta unalo lifahamu? Au wew ndio kibaraka wa hilo dikteta unalipigania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi namkumbuka mwenyekiti wa chama fulani hapa nchini. Yeye hakuna kitu anachukia kama mwanachama mwenzake anajitokeza kugombea nae nafasi ya mwenyekiti. Kugombea nae inamaanisha hakubaliki. Hivi juzi alimtisha Mgombea mmoja kuwa "sumu haionjwi kwa kuilamba"!
 
Kweli kabisa imefikia mpaka aliyetaka kuchukua fomu ili apambane nae kuvuliwa uanachama na kusema kosa la kimaadili
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…