BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,046
Wakuu habari ya wikiend...
Ngoja niende direct kwa mada. Kuna jambo nmeliwaza nikaona nililete huku jf kwa wajuzi wa mambo. Wakati wa usiku madereva hawawashi taa ndani ya gari lakini wana drive vilevile gizani.
Kwanini uendeshe gari usiku bila kuwasha taa ya ndani? Ile taa ya ndani ya gari ni ya kazi gani? Je ni mazoea? Au kuna siri gani hapo? Karibuni
Ngoja niende direct kwa mada. Kuna jambo nmeliwaza nikaona nililete huku jf kwa wajuzi wa mambo. Wakati wa usiku madereva hawawashi taa ndani ya gari lakini wana drive vilevile gizani.
Kwanini uendeshe gari usiku bila kuwasha taa ya ndani? Ile taa ya ndani ya gari ni ya kazi gani? Je ni mazoea? Au kuna siri gani hapo? Karibuni