lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
- Thread starter
- #21
We lala kwanza.
halafu nikishalala inakuaje mkuu
We lala kwanza.
Ww elewa tu unatakiwa ulale chini
We lala kwanza.
halafu nikishalala inakuaje mkuu
Lala kwanza basi afu ntajub baadae...
Maswali baadaeeee.
nijibu sasa hivi
kwani ukivaa nguo ngumu ngumu vitawezaje kunijeruhi?
Mwanangu hii ni taaluma ngumu sana, kwanza jikinge na maralia.
kwani ukivaa nguo ngumu ngumu vitawezaje kunijeruhi?
ni lazima ulale chini mkuu kwa maana ukilala juu utakutana nalo juu kwa juu
Haa haa haa ushauri wako noumaa
Kwa nguo nguo ngumu unamaanisha nini? Bomu linaua mtu alie ndani ya nguo za Kevlar bullet proof material, linaharibu gari za deraya zisizoingia risasi wala rpg, linabomoa zege gumu la upana mkubwa n.k
Duh! Maswali ka mtoto vile, una umri gani hivi.