lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Hivi kwanini mabomu yakilipuka watu wanaambiwa kulala chini? Kwanini watu wasikimbie au kusimama wima ili kukwepa milipuko au mbona zikilia risasi watu hawalali chini?
Jamani wataalam wa mabomu watujuze kwanini tunalala chini?
Jamani wataalam wa mabomu watujuze kwanini tunalala chini?