Nimesoma mabandiko mengi hapa yakiongelea Lowassa sasa amegeuza majeshi analilia kwenda UKAWA.
Kwa nini anatumia nguvu zake kwenda UKAWA katika kipindi hiki baada ya kumwagwa CCM?
Ninashauri asikilizwe bila hata juhudi za Apson kukusanya fedha za rushwa. Lowassa na watu wako mfahamu kwamba si kila siku fedha itafanya kazi mahala pote, hilo suala la fedha acheni.
Kama Lowassa anataka kuhamia CHADEMA, asizuiliwe kwa sababu CHADEMA ni sehemu ya UKAWA ambao lengo lake ni kujenga nchi ya Wtanzania isiyokuwa na ufisadi wala ufirauni wowote wa kiccm iliyoshindwa. Na nchi hii mpya itajengwa na Watanzania walio ndani na nje ya vyama vyote vya siasa, kwa uongozi wa UKAWA.
UKAWA itakuwa na jukumu la kuwabadilisha Watanzania fisadi wawe watanzania bora kwa njia zote ngumu na nyepesi, kwa hiyari zao ama bila hiyari zao. Tunahitaji taifa lenye mtazamo na mwelekeo sahihi at all costs.
Kama ndivyo, Lowassa akiwa kama Mtanzania, na anatamani kuingia UKAWA, asizuiliwe ila Asipewe uongozi na yeye asilazimishe uongozi kwa sababu UKAWA ni imani mpya kwake.
Anahitaji kufundishwa kama vile muumini wa dini mpya afundishwavyo amani mpya kabla hajaanza ku3nda kwenye utumishi.
Ushauri waneu narudia, kwa kuwa analilia sana, apokelewe kama mwanachama wa kawaida, afundishwe uzalendo sahihi, ajenge nchi yake kwa njia sahihi zisizo za ufirauni chini ya uongozi wa UKAWA na aache ubabe wa kulazimisha kwamba awe raisi.
Kwa UKAWA hana sifa, lakini anaweza kuwa mwanachama akafundishwa uzalendo wa kweli na akaishi kwa kujenga nchi kama ambavyo tunategemea kuwa tunakwenda kubadili taifa na kulifanya la wazalendo wajenzi wa nchi kwa kuwapa sera na miongozo sahihi, kuwalinda na kuhakikisha wanawajibika ipasavyo kwa ustawi wao na ustawi wa taifa.
Lowassa apokelewe lakini asipewe uongozi kwa kumpa ongozi ni kuhamisha ufisadi toka CCM kwenda UKAWA na hivyo kupoteza muelekeo wa UKAWA.
Yeye awe raia ajifunze itikadi za chama na abadilishwe kutoka ufisadi kwenda uzalendo na kukimbilia uraisi kama anavyotaka.
Kwa nini anatumia nguvu zake kwenda UKAWA katika kipindi hiki baada ya kumwagwa CCM?
Ninashauri asikilizwe bila hata juhudi za Apson kukusanya fedha za rushwa. Lowassa na watu wako mfahamu kwamba si kila siku fedha itafanya kazi mahala pote, hilo suala la fedha acheni.
Kama Lowassa anataka kuhamia CHADEMA, asizuiliwe kwa sababu CHADEMA ni sehemu ya UKAWA ambao lengo lake ni kujenga nchi ya Wtanzania isiyokuwa na ufisadi wala ufirauni wowote wa kiccm iliyoshindwa. Na nchi hii mpya itajengwa na Watanzania walio ndani na nje ya vyama vyote vya siasa, kwa uongozi wa UKAWA.
UKAWA itakuwa na jukumu la kuwabadilisha Watanzania fisadi wawe watanzania bora kwa njia zote ngumu na nyepesi, kwa hiyari zao ama bila hiyari zao. Tunahitaji taifa lenye mtazamo na mwelekeo sahihi at all costs.
Kama ndivyo, Lowassa akiwa kama Mtanzania, na anatamani kuingia UKAWA, asizuiliwe ila Asipewe uongozi na yeye asilazimishe uongozi kwa sababu UKAWA ni imani mpya kwake.
Anahitaji kufundishwa kama vile muumini wa dini mpya afundishwavyo amani mpya kabla hajaanza ku3nda kwenye utumishi.
Ushauri waneu narudia, kwa kuwa analilia sana, apokelewe kama mwanachama wa kawaida, afundishwe uzalendo sahihi, ajenge nchi yake kwa njia sahihi zisizo za ufirauni chini ya uongozi wa UKAWA na aache ubabe wa kulazimisha kwamba awe raisi.
Kwa UKAWA hana sifa, lakini anaweza kuwa mwanachama akafundishwa uzalendo wa kweli na akaishi kwa kujenga nchi kama ambavyo tunategemea kuwa tunakwenda kubadili taifa na kulifanya la wazalendo wajenzi wa nchi kwa kuwapa sera na miongozo sahihi, kuwalinda na kuhakikisha wanawajibika ipasavyo kwa ustawi wao na ustawi wa taifa.
Lowassa apokelewe lakini asipewe uongozi kwa kumpa ongozi ni kuhamisha ufisadi toka CCM kwenda UKAWA na hivyo kupoteza muelekeo wa UKAWA.
Yeye awe raia ajifunze itikadi za chama na abadilishwe kutoka ufisadi kwenda uzalendo na kukimbilia uraisi kama anavyotaka.