Kwanini Lowassa havai vazi rasmi la CHADEMA maarufu kama gwanda?

Roho yake bado ipo CCM, huko ni mwili wake tu upo kuwa na cheo tu na kuwaburuza wasiojielewa.
 
Umekuwa kama Mkikuyu ambao hata mlevi akionekana kalewa busaa humlaumu Odinga,wewe kila siku ukitokea ujinga wenu humlaumu raisi Magufuli.
 
Tupia hata picha moja ambapo Nyerere amevaa shati la kijani na kofia ya njano. Je, Nyerere was a temporary member ? Au alikuwa hakubaliani na vazi la ccm ?
 
Chadema imeingia choo cha kike.... Na siku Dr. Slaa akiamua atoe ya moyoni lazima Chadema ipasuke vipande vipande tu
 
Mkuu ,swali lako sio baya ila majibu yake sasa ndio mabaya.


mavazi ya cdm si mabaya ila rangi zake na nembo yao ndio tatizo.

kwanini havai? havai kwasababu moja rangi za chama-Blue ina maana ya Freedom from Harm .

sare za Chama-Magwanda.Husimama kama mbadala wa mavazi ya kijeshi hivi .(harufu ya Vita)

Mkuu ,Nimekuraisishia tu we Fanya kama unaunga dot na mauaji ya mwangosi .utapata majibu ya kwanini havai.
 
Ebu naomba onesha mahali Nyerere alivaa mavazi ya CCM.
 
Yanayohusu nini? Andaeni wanashida wa kwenda londoni kujibu madai ya macontainer
 
Lowassa ana mashabiki vyama vyotee vya siasa hapa tz so Hana haja ya kuvaa sare ya chama

Napia chadema hatuangalii kuvaa magwanda bali matendo

Waweza vaa suti na kubeba bibilia kumbe ni muasherati au jambazi no 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…