Anapenda rangi yako?Simple. havai kwa sababu hapendi rangi za CHADEMA.
Umekuwa kama Mkikuyu ambao hata mlevi akionekana kalewa busaa humlaumu Odinga,wewe kila siku ukitokea ujinga wenu humlaumu raisi Magufuli.One thing;
Lowassa ni mwanasiasa ambaye ana wapenzi kutoka vyama vyote vya siasa. Na ndivyo alivyouza brand yake .
Angalia kampeni kama ulipo tupo utagundua ana haki ya kuwa alivyo.
Actually ina faida pia.
Unaona Magufuli ameshindwa kuiunganisha nchi kwaajili ya kuwa too partisan. Actually ana ride on luck . Likitokea janga kubwa la kitaifa kama vita utanielewa zaidi .
So, Lowassa yuko poa.
Halafu kama unafuatilia kinachoendelea katika siasa duniani kote, watu wamekuwa na tendency ya kuachana na vyama na kutafuta mtu Neutral anayeweza kubeba hoja zao na kuunganisha taifa.
hajawahi hata kunionaAnapenda rangi yako?
Baba wa chadema.Ivi huoni tofauti kabisa kutaja Baba wa taifa na Lowasa!!? bora hayati unamtambua kama baba wa taifa,na lowasa unamtambua kama nani!!?
Mpigie umuulize chukua namba hiyoJibu swali hapo unapayuka ...mbona yeye hio marachache hatuioni?
Unamaanisha nini ukisema hivyo ? Kwani neno Nyerere ni cheo ?Kumbe Lowasa ni Nyerere wa chadema??
Ebu naomba onesha mahali Nyerere alivaa mavazi ya CCM.Nawauliza hasa wanachama wa CHADEMA. Tangu kuhamia kwake katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini, Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Lowassa amekuwa havai mavazi wala nembo za CHADEMA.
Kwanini? Lowassa haonekani kuvaa magwanda wala fulana za CHADEMA mahali popote. Fulana hubeba nembo za chama chake. Nembo za CHADEMA hubeba itikadi na msimamo wa chama. Kwanini yeye havai?
Is he a temporary member of CHADEMA? Hapendi au kukubaliana na mavazi na nembo rasmi za CHADEMA? Katika mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA huko Dodoma leo,ni Lowassa tu ambaye hakuvaa fulana wala gwanda rasmi la CHADEMA. WHY?
hhahaha kwa wingi huo nna uhakika zinachemsha makande mpk yanaiva