Kwanini Lowassa asilete mvua?

sasa kama anawaza kugombea tena 2020 huoni kua nivyema angeleta mvua ili wananchi wasife kabla ya yeye kushika nchi
Ok ni jambo jema...
Kwann usiishauri serikali yako ikutekelezee hayo maombi yako??
Maana sio jukumu la Edo wala mtu yeyote ispokuwa hzo ni kaz za serikali
 
Ok ni jambo jema...
Kwann usiishauri serikali yako ikutekelezee hayo maombi yako??
Maana sio jukumu la Edo wala mtu yeyote ispokuwa hzo ni kaz za serikali
kwahyo anataka wananchi wafe kisa kanyimwa kura au kuna wakati maalumu wakutenda wema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…