Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
1.Mgombea wa urais wa kudumu kupitia UKAWA.
2.Mtoa pesa na mdhamini wa chama.
3.Mtu mwenye heshima na anaenyenyekewa kuliko wote CDM.
4.Mjumbe wakamati kuu CDM.
Need i say more ?
Mpaka kuwafunika wapigania chama kama wakina Mwalimu.
Mpaka kuwapoteza wakina Wenje wamekosa nguvu ya kupambana na kutetea wananchi.
Baada chadema impe cheo mtu kama Vincent Nyerere wao wanaangaika na mtu ambaye ana makando kando ya ufisadi.
Timu ya vijana kama Vincent Nyerere,Wenje,Kiwia wangeweza kujenga chama maana hawapo bungeni lakini sio Lowassa huyo ninayemjua.
Hivi toka lini Lowassa na &com aliowaacha ccm wameacha ufisadi?
Lowassa apumzike na yeye asiwe muongo na mtu wa kubadilika alituhaidi mwenyewe kuwa akishindwa uchaguzi ataenda kuchunga ngombe .
Sasa mtu ambaye anashindwa kutimiza tu ahadi ndogo kama hii anawezaje kuaminiwa kupewa nchi?..
Lazima tuambiane ukweli kuwa mtu kutopelekwa mahakamani sio kigezo cha kutokuwa fisadi.
Acha vijana wanaoaminika wafanye Kazi .
Kwani wengine wamekatazwa? Hata akijenga Lowassa wewe kinakuuma nini? Ulishasema unamchukia sana sasa hiki ulichoweka ni kinyaa tupu!!!Lowassa ndio anazunguka nchi nzima kujenga chama seriously ??
Hakushindwa uchaguzi ila Sisiem ilipora matokeo na kugeuza kibao kuwaweka ndani vijana waliokuwa wanakusanya matokeo mpaka juzi wamefuta kesi.
Sio kukatazwa tu na kufumbwa midomo ajenda kuu ni kupambana na ufisadi sasa hata wakitoka hawawezi kuiongelea.Kwani wengine wamekatazwa? Hata akijenga Lowassa wewe kinakuuma nini? Ulishasema unamchukia sana sasa hiki ulichoweka ni kinyaa tupu!!!
Ukimya unamaanisha uhalifuJibu la mjinga ni kimya. Kwa busara na wekima alizonazo lowassa Ataka Kimya• mwisho wa siku mnamuandika tena kwa lingine # safi sana kwa style yako mheshimiwa Lowassa kimya chako kinawapa maswali mengi
utakuwa masalia ya Dr Mihogo, pole sana siasa ni kugawanaMsitegemee kuwa LOWASSA atakuja kuwa Rais wa nchi hii. Tafuteni mtu mwingine atakayeweza kukiwakilisha vyema chama. Akisimama Lowassa, mjue wazi kuwa mtashindwa. Lowassa tayari ameshaanza kutoa pongezi nyingi kwa mh.Rais Magufuli. Kwa hiyo image ya Chadema ndiyo hivyo inaondoka. Msemaji wa chama amebaki mtu mmoja tu Lowassa wakati kweli chama kilikuwa na vijana na wazee wengi tu wenye uwezo wa kujenga hoja na ambao walipambana hadi kuijenga Chadema kuwa imara. Tuliondoka ndani ya Chadema kutokana na ujanjaujanja wa mwenyekiti kubadiri gia angani. Tuliondoka tukiwa tumesononeka sana kutokana na ujio wa Lowassa ndani ya chama.
Nani kakwambia ajenda kuu iwapasayo watanzania ni ufisadi? Watu kwa watoto wanakufa huko kwa kukosa dawa hospitali umasikini umetopea waache kuongelea hayo? Ufisadi si mlimsifu Magufuli kaumaliza sasa mnataka nini? Chama chenu ACT hamuwezi kuichukua hiyo ajenda?Sio kukatazwa tu na kufumbwa midomo ajenda kuu ni kupambana na ufisadi sasa hata wakitoka hawawezi kuiongelea.
Ufisadi ufisadi pesa zinazoliwa kupitia ufisadi zingeweza kununua dawaNani kakwambia ajenda kuu iwapasayo watanzania ni ufisadi? Watu kwa watoto wanakufa huko kwa kukosa dawa hospitali umasikini umetopea waache kuongelea hayo? Ufisadi si mlimsifu Magufuli kaumaliza sasa mnataka nini? Chama chenu ACT hamuwezi kuichukua hiyo ajenda?
Wewe kinyaa kabisa!!
Ukweli ndiyo huo kwamba Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania. Atakuwa msindikizaji tu kama wenzie akina Seif.utakuwa masalia ya Dr Mihogo, pole sana siasa ni kugawana
tayari ni Rais wa mioyo ya watanzania, sijui wataka awe rais mara ngapiUkweli ndiyo huo kwamba Lowassa hawezi kuwa Rais wa Tanzania. Atakuwa msindikizaji tu kama wenzie akina Seif.
tatizo unaleta ushabiki...unachokiandika hakiwez kuwa na maanaSawa unachosema ila naona unaweza ukawa "popo au ndumila kuwili". Hujitambui wala hujui unachotetea katika nchi hii na huna mbele wala nyuma.
Chama amenunua kutoka mikononi mwa waliokuwa wanamiliki tangu mwaka jana, sahizi anatambulishwa na kunapata uzoefu ili uchaguzi wa ndani achukuwe usukani 2017/18.
EL anajulikana ni mwizi na wakubwa wako wanajua kuliko wewe. Wengi mlioko huko mmebaki kulilia mikate yenu, siku ziende. Mbowe anazidi kuwalamba akili zenu na maisha, mmebaki mnahaha tu mitandaoni, huku mkimtetea wakati amewauza na kuwafanya misukule.
Kumfundisha kuendesha gari mwenye gari, haina maana umekuwa tajiri zaidi yake. Subiri kipigo cha 2020 kwa kutanguliza huyu mwizi.
Hakushindwa uchaguzi ila Sisiem ilipora matokeo na kugeuza kibao kuwaweka ndani vijana waliokuwa wanakusanya matokeo mpaka juzi wamefuta kesi.
sawa kabisa kakaAu uko vizuri kwenye kufuta ushahidi!