KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
Nimewaona makada Wa chama John Magufuli na Wassira wamemaliza zoezi la kusaka wadhamini na kurejesha fomu.
Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya kuonekana ana resources za kutosha?
Swali likanijinia kwanini Lowassa anastruggle kukamilisha zoezi hilo jepesi tu licha ya kuonekana ana resources za kutosha?