Sakata la viongozi wetu kuugua magonjwa limeshika kasi na kila anaye ugua anachukua hatua za kujitibu kwa nafasi yake.
Wapo watu wanao singizia kuwa magonjwa yanayo wakabili mwakyembe na mwandosya ni kutokana na sumu au mambo ya kisiasa.
Mbana jakaya kikwete alipoanguka jangwani wakati wa kampeni za siasa watu hawakuhusisha sumu wakati wabaya wake wote waliukuwepo hapo????
Ukwewli ni kwamba viongozi wetu ni wagonjwa wa magonjwa sugu na ugonjwa hauchagui fisadi au mpambanaji wa ufisadi !!!
Wote wanaugua tu!!!
Ni fikira za kukosa ukweli kusingizia sumu.!!!!!
Nyerere aliugua ugonjwa wa ajabu sana na kila siku madaktari walikuwa wanagua magonjwa mapya !!!!
Je nina katika viongozi waliopo anaweza kumufikia nyerere???
Wakati wa tiba ya babu vigogo wote walikwenda loliondo na wakaficha magonjwa yao!!!!
Lowasa alikwenda loliondo kutibiwa na amekuwa akihaha kwenye maombi nigeria wa nabii joshua , juzi ameonekana uk kwenye matibabu, kwa nini wasisemi ni sumu???
Lowasa anahekima alipo ona mwandosya yupo india yeye akakwepa kwenda uk .
Huko loliondo mafisadi wote walikuwa wanatibia sehemu moja na wabambanaji wa ufisadi bila kujali wate walipanaga foleni!!!!.
Ni bora tuakaondoa fikra za imani potofu na kufikria matendo yetu kabla ya kuugua!!!
Wakati wa vikao vya bunge machangudoa wanajazana dodoma sasa matunda yake ndio hayo!!!
Wapo watu wanao singizia kuwa magonjwa yanayo wakabili mwakyembe na mwandosya ni kutokana na sumu au mambo ya kisiasa.
Mbana jakaya kikwete alipoanguka jangwani wakati wa kampeni za siasa watu hawakuhusisha sumu wakati wabaya wake wote waliukuwepo hapo????
Ukwewli ni kwamba viongozi wetu ni wagonjwa wa magonjwa sugu na ugonjwa hauchagui fisadi au mpambanaji wa ufisadi !!!
Wote wanaugua tu!!!
Ni fikira za kukosa ukweli kusingizia sumu.!!!!!
Nyerere aliugua ugonjwa wa ajabu sana na kila siku madaktari walikuwa wanagua magonjwa mapya !!!!
Je nina katika viongozi waliopo anaweza kumufikia nyerere???
Wakati wa tiba ya babu vigogo wote walikwenda loliondo na wakaficha magonjwa yao!!!!
Lowasa alikwenda loliondo kutibiwa na amekuwa akihaha kwenye maombi nigeria wa nabii joshua , juzi ameonekana uk kwenye matibabu, kwa nini wasisemi ni sumu???
Lowasa anahekima alipo ona mwandosya yupo india yeye akakwepa kwenda uk .
Huko loliondo mafisadi wote walikuwa wanatibia sehemu moja na wabambanaji wa ufisadi bila kujali wate walipanaga foleni!!!!.
Ni bora tuakaondoa fikra za imani potofu na kufikria matendo yetu kabla ya kuugua!!!
Wakati wa vikao vya bunge machangudoa wanajazana dodoma sasa matunda yake ndio hayo!!!