IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
Ukiwa unafanya biashara hasa ya kusafiri utajifunza mengi.
Ndugu zangu maeneo ya Iringa, Mbeya hasa nje ya mji nguruwe wanafugwa kama mbuzi. Hakuna udhibiti ,wanafunguliwa asubuhi wanarudi.
Cha kushangaza maeneo ambayo kuna mabucha sijawaji kuona utumbo wa nguruwe.
Swali la msingi kwa walaji, vipi utumbo wa nguruwe unaliwa? Kama unaliwa kwanini hawauzi buchani?
NB: Hayo maeneo niliyotaja nguruwe ni kama mbuzi tu, na wanajilea kama kuku wa kienyeji.
Ndugu zangu maeneo ya Iringa, Mbeya hasa nje ya mji nguruwe wanafugwa kama mbuzi. Hakuna udhibiti ,wanafunguliwa asubuhi wanarudi.
Cha kushangaza maeneo ambayo kuna mabucha sijawaji kuona utumbo wa nguruwe.
Swali la msingi kwa walaji, vipi utumbo wa nguruwe unaliwa? Kama unaliwa kwanini hawauzi buchani?
NB: Hayo maeneo niliyotaja nguruwe ni kama mbuzi tu, na wanajilea kama kuku wa kienyeji.


