Kwanini kwangu tu mimi, nimekosea wapi?

Kwanini kwangu tu mimi, nimekosea wapi?

kama si muda wa kuolwa basi hizo mtu sahihi ni kuongea tu...atakuja mtuawe na relation ila sindoa...ndoa haiji tu hivi hivi...hivo kama huwzi uwa single ni facts kwamba uta do tu....so usiweke sana mambo yako waziiiiimaana skendo inatwza kuwa mtu alikutaka hajakupata akaamua aanzishe...au anakupa skendo ila naye walewale anachezea watoto wa watu...so achana na magroup fulani ya watu....date watu wenye akili zao kama mimi
 
Tatizo unapenda sana kujishughulisha na watu wa nje unashindwa kuwa busy na huyo umpatae, 'laiti' kama watu wote tulioko kwenye mahusiano tungelikuwa tunasikiliza ya nje tusingekuwa tunapendana. Maneno ya nje husemwa mengi sana.
 
mleta mada ni raia au mwenyeji wa wapi?kiswahili chako ni kibovu sana kueleweka.
Ni Mtanzania halisi talentboy,pole sana nimekuchosha nakiswahili
Kibovu sana elimu yngu ndogo sana
 
kama si muda wa kuolwa basi hizo mtu sahihi ni kuongea tu...atakuja mtuawe na relation ila sindoa...ndoa haiji tu hivi hivi...hivo kama huwzi uwa single ni facts kwamba uta do tu....so usiweke sana mambo yako waziiiiimaana skendo inatwza kuwa mtu alikutaka hajakupata akaamua aanzishe...au anakupa skendo ila naye walewale anachezea watoto wa watu...so achana na magroup fulani ya watu....date watu wenye akili zao kama mimi
Nashukuru kwa mchango wako afande kifimbo
 
Ni Mtanzania halisi talentboy,pole sana nimekuchosha nakiswahili
Kibovu sana elimu yngu ndogo sana
dah,umejibu kwa huruma sana mpk nimejisikia vibaya aise!pole though kwa yanayokukuta.
 
Habari wadau bila shaka mu wazima katika ubora wenu.

Nimekuja humu angalau nipate mwanga naona stress zimenizidi umri wangu.

Nimeshakua kwenye mahusiano na watu chini ya tano kama sikosea kwa umri wangu (17-24) mambo yanayonipata sasa ndo yananipelekea nije kupata mwanga na ushauri humu kwenye hili jukwaa.

Mambo yenye ni kama haya;

- Skendo zinaaza za hapa na pale.

- Kuwa mwanamke malaya sana.

- Mara atakua na ngoma si bure.

- Mara atakua napepo la ngono.

- Wengine ni mapungufu yakibndamu siwezi mkoso Mungu

Kwa ilo la umbaji ni wachache pia nilikua nao (viziwi, kumbuku ndogo, n.k) ni wachache sina.

Tatizo nao kabisa(honestly)

- Tatzo kubwa lipo kwa hao waskendo Lina niumiza limenipeleke kuona ninakanuksi labda maana imenikuta sana.

Nimepumzika kwasasa ni miezi imepita kwakweli.Nimecheck afya iko vizuri lakini nahisi nibahati yangu pia lakini skendo kwa hao niliokuwa nao linarudisha nyuma sana.

Lisemwalo lipo ndo wasiwasi wangu (waswahili) wadau haya mambo yakoje kwenu ni dalili gani huko baadae linaniwazisha sana.

Happy Valentine's day to all!
Division five at work!
 
Habari wadau bila shaka mu wazima katika ubora wenu.

Nimekuja humu angalau nipate mwanga naona stress zimenizidi umri wangu.

Nimeshakua kwenye mahusiano na watu chini ya tano kama sikosea kwa umri wangu (17-24) mambo yanayonipata sasa ndo yananipelekea nije kupata mwanga na ushauri humu kwenye hili jukwaa.

Mambo yenye ni kama haya;

- Skendo zinaaza za hapa na pale.

- Kuwa mwanamke malaya sana.

- Mara atakua na ngoma si bure.

- Mara atakua napepo la ngono.

- Wengine ni mapungufu yakibndamu siwezi mkoso Mungu

Kwa ilo la umbaji ni wachache pia nilikua nao (viziwi, kumbuku ndogo, n.k) ni wachache sina.

Tatizo nao kabisa(honestly)

- Tatzo kubwa lipo kwa hao waskendo Lina niumiza limenipeleke kuona ninakanuksi labda maana imenikuta sana.

Nimepumzika kwasasa ni miezi imepita kwakweli.Nimecheck afya iko vizuri lakini nahisi nibahati yangu pia lakini skendo kwa hao niliokuwa nao linarudisha nyuma sana.

Lisemwalo lipo ndo wasiwasi wangu (waswahili) wadau haya mambo yakoje kwenu ni dalili gani huko baadae linaniwazisha sana.

Happy Valentine's day to all!
Yataka kumusi ili mtu akuelewe
 
Wewe kwa kuficha umri ni bado unasoma, haya nenda kasome.
 
Back
Top Bottom