Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Haaaaaa sijashangaa ila nimecheka tu jinsi ulivyomjibu uyo jamaa anaewazeesha wanawake wenye umri 30yes yes bado ni vijana, unashangaa nini au hujui ujana unaishia ngapi?
kila mtu awe huru bhana tunaishi nchi huru
teh teh