Vipi kwa abiria anayepita pale akiwa amelala ndani ya gari maana huyo hataona wanyama?Angalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
Sawa mwanauchumi kww wazo la kupanua wigo wa mapato, ila ungepeleka kwenye wizara husika walifanyie kazi, tene pendekeza iwe 10,000/= kabisa ili watu wazidi "kupata tabu sana"Angalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
watu wanapita pale kwakuwa i;e ndo njia pakee eneo lile hakuna anyepita pale ili kuona wanyama so kuwalipisha watu kilazima c fairAngalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
Angalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
Na lengo lake si kuwaona wanyama, kalazimika tu kupita mbuganiVipi kwa abiria anayepita pale akiwa amelala ndani ya gari maana huyo hataona wanyama?
Wewe kila moment unafikiri ushetani, mauaji, tozo, kodi, utekeji and the like! Sijawahi kuona unaandika jema kwa watuAngalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
Na siku zote mashetani wanafikiri ushetani wao na kutaka watu wote waishi kama mashetaniWewe kila moment unafikiri ushetani, mauaji, tozo, kodi, utekeji and the like! Sijawahi kuona unaandika jema kwa watu
Sijawahi kuona stroke anaandika jema, daima ni kukandamiza. Shetani mkubwa LuciferNa siku zote mashetani wanafikiri ushetani wao na kutaka watu wote waishi kama mashetani
Tuoneeni huruma jamani mtatuua kwa huu unyonyaji wa kila uchwaoAngalau hata shilingi mia tano (500) kwa gari ndogo na elfu moja (1000).
Hii itasaidia kuongeza pato,kwani kila anayepita pale anaona wanyama.
Au mnasemaje wadau?
inashangaza sana ; watu mnalazimisha Serikali ifanye mambo bila kutaka kuwa sehemu ya utekelezaji kwa kuchangia kupitia kodi.Wewe kila moment unafikiri ushetani, mauaji, tozo, kodi, utekeji and the like! Sijawahi kuona unaandika jema kwa watu