Sungurawembe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 414
- 55
Tatizo ni lugha au mbona mzee wa kilimo kwanza anatamka sana kwamba mapinduzi ya kijani. ni kuhusiana na mambo ya kilimoMkuu unaweza kufafanua hii revolution pliz?
Tatizo ni lugha au mbona mzee wa kilimo kwanza anatamka sana kwamba mapinduzi ya kijani. ni kuhusiana na mambo ya kilimoMkuu unaweza kufafanua hii revolution pliz?
Haaahaaa
Jf raha sana. Stress zote zimeisha sasa
Kinyesi cha binadamu kinatumika kama mbolea ila lazima kioze na kukauka na hapo hubadilika jina na kuitwa night soils badala ya manure kama zinavyo itwa mbolea za wanyama wengine