Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,392
- 7,863
Inasemekana yanaweza kuzalisha nishati mbadala
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Kwanza jiulize kwa nini yanafichwa kwenye mashimo yaani choo
Inasemekana yanaweza kuzalisha nishati mbadala
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Inasemekana yanaweza kuzalisha nishati mbadala
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Ivi unajua Green Revolution ya China 1950s ilifankiwa vp???
Ni kweli kuwa kinyesi chetu kinaweza kutumika kuzalisha nishati na nimeshudia baadhi ya maeneo wakikitumia kuzalisha nishati,kuhusu kutumika km mbolea ni kwamba inawezekana isipokuwa hadi ki- decompose,Sema wengi hawakitumii kutokana na changamoto mbalimbali km vile harufu,Usafirishaji hadi shambani,n.k.
Akitokea mwekezaji tutafanya upembuzi yakinifu utakaopelekea mpango mkakati wa kuratibu mchakato wa kuwekeza katika hii sekta ila inabidi tujaribu kuwafanyia utafiti binadamu kadhaa na vyakula wanavyokula ili tuone ni vyakula gani mtu akila row material anazotoa zina nishati kubwa ya gesi...asante!
Inasemekana yanaweza kuzalisha nishati mbadala
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Hapa inakubidi uende kijijini maana hapa mjini chips yai mavi yake hayawezi kutengeneza nishati hata mbolea yake haina rutuba!
Inasemekana yanaweza kuzalisha nishati mbadala
Lakini kwanini hayatumiki kwa mbolea kama wanyama wengine?
Kwanza jiulize kwa nini yanafichwa kwenye mashimo yaani choo