Kwanini Kinondoni tu?

Kwanini Kinondoni tu?

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
3,768
Reaction score
5,634
Ukiangalia tangu uchaguzi umeisha sehemu maarufu nchi nzima kisiasa ni Kinondoni. Sio Mkuu wa wilaya wala sio Meya wa UKAWA wote wako moto kwenye media kuonyesha wanafanya nini tofauti na kwingineko Dar es salaam na Tanzania yote.

Chanzo ni nini? Kwasababu vyombo vingi vya habari viko huku? au kwasababu kuna vitu vingi vya kusemea huko? Au kwasababu ikulu iko huko?
 
Labda kwa sababu ikulu iko huko, na promotion za wakuu wa wilaya kuwa wakuu wa mikoa zinatokea huko
 
wengine wanataka waonyeshe kwa vitendo sio kujitangaza kwenye media uzi wako unaoneka hauna mvuto kwa wengine
 
Kinondoni hata biashara ya ukahaba inaongoza pia, sio siasa tu
 
Back
Top Bottom