Kwanini Kila siku unakimbiwa na wanawake???

Kwanini Kila siku unakimbiwa na wanawake???

Jarida ni refu kweli kweli ni bora lingebakia kwenye tu jumb la makumbusho
 
Okay! Japo hata ukifanya hayo unaweza kukimbiwa tu!! Wenye tamaa na wasioridhika hawakosekani.
 
unawapa vyote na mwisho wanakuacha bila huruma hahhhh...wanawake bhan bora kuwa Chuma nondo steel wire Gaidi ndo watakuheshimu.
 
Akikimbia si ndo vizuri? amekupunguzia gharama, unakaa kidogo then

unavuta demu mwingine dogo dogo, mtamuuu, kiulainiiiiii!. au dawa yake wewe tafuta wadada wa kazi wakaliiii! sasa tuone akimbie amuachie? mtihani!

wanawake jamani tumezidi kuwa wanyonyaji khaaa!
 
Back
Top Bottom