technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Mkapa aliingia kwenye List of shame kwa mujibu wa Dr Slaa.
Baadae Kikwete pia akaingia kwenye List of shame kwa mjibu wa Dr Slaa.
Sasa ni kwa nini na hata Mtukufu ataingia hapo? mafisadi wameongezeka awamu hii kwa nini?
1: Baada ya kuangalia uwanja wa ndege chato utajengwa kwa Bilion 60 na tenda yake kupatikana kwa njia zisizo julikana.
2: Kununua ndege kwa bei isiyojulikana wakati pesa ni za walipa kodi .
3: kuchangisha bilion 16 za maafa na kusema wamechangisha bilion 5.4
4: kuhongwa kwa wabunge Milioni kumi kwa kila mbunge
Naona mafisadi wameongezeka sasa kutokana na ile list yake tunaweza kuiboresha kwa kuongeza mafisadi wengine wakongwe na wanaochipukia.
Swali ni je kwanini ufisadi na hongo zinaonekana kuongezeka sana kipindi hiki? Kuna nini nyuma ya pazia?
Jibu ni moja tu Tunaingiza watu masikini Ikulu na kutegemea waondoke wakiwa masikini kitu ambacho ni kama kumfungia ndani ya chumba paka na sifulia ya maziwa .
Swali ni kwamba ikiwa unaenda ikulu bila kitu chochote inakuwaje unatoka uko ukiwa Tajiri wa kutupwa? Kuna biashara gani huko?
Baadae Kikwete pia akaingia kwenye List of shame kwa mjibu wa Dr Slaa.
Sasa ni kwa nini na hata Mtukufu ataingia hapo? mafisadi wameongezeka awamu hii kwa nini?
1: Baada ya kuangalia uwanja wa ndege chato utajengwa kwa Bilion 60 na tenda yake kupatikana kwa njia zisizo julikana.
2: Kununua ndege kwa bei isiyojulikana wakati pesa ni za walipa kodi .
3: kuchangisha bilion 16 za maafa na kusema wamechangisha bilion 5.4
4: kuhongwa kwa wabunge Milioni kumi kwa kila mbunge
Naona mafisadi wameongezeka sasa kutokana na ile list yake tunaweza kuiboresha kwa kuongeza mafisadi wengine wakongwe na wanaochipukia.
Swali ni je kwanini ufisadi na hongo zinaonekana kuongezeka sana kipindi hiki? Kuna nini nyuma ya pazia?
Jibu ni moja tu Tunaingiza watu masikini Ikulu na kutegemea waondoke wakiwa masikini kitu ambacho ni kama kumfungia ndani ya chumba paka na sifulia ya maziwa .
Swali ni kwamba ikiwa unaenda ikulu bila kitu chochote inakuwaje unatoka uko ukiwa Tajiri wa kutupwa? Kuna biashara gani huko?