Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Kila mwaka ikifika Januari lazima tangazo la kuwataka wakuu wa mikoa kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya shule Litoke.
Tangazo hili uambatana na kuwatumbua wakuu wa mikoa au wilaya kuashiria waziri mwenye dhamana yupo serious. Lakini tujiulize, hayo madarasa yanakamilikaga kila Januari tu?
Kama kila Januari tunasema wakamilishe ujenzi, habari hizi zitaenda hadi lini? Mbona vyuoni hakuna hizi habari za kukamilisha ujenzi? Au wanafunzi wa primary na secondary wanaaribu sana mazingira?
Wakuu wa shule wanakuwa wapi hadi wakuu wa mikoa wapigwe nginja nginja waache kusherekea mwaka mpya?
Tangazo hili uambatana na kuwatumbua wakuu wa mikoa au wilaya kuashiria waziri mwenye dhamana yupo serious. Lakini tujiulize, hayo madarasa yanakamilikaga kila Januari tu?
Kama kila Januari tunasema wakamilishe ujenzi, habari hizi zitaenda hadi lini? Mbona vyuoni hakuna hizi habari za kukamilisha ujenzi? Au wanafunzi wa primary na secondary wanaaribu sana mazingira?
Wakuu wa shule wanakuwa wapi hadi wakuu wa mikoa wapigwe nginja nginja waache kusherekea mwaka mpya?