kwanini kila jambo lawama kwa chadema?

kwanini kila jambo lawama kwa chadema?

chapati

Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
11
Reaction score
0
imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa serikali kuiraumu chadema kwa kila jambo linalojitokeza nchini eti wanasiasa wachama furani ndio wa wanaowachochea wananchi kuipinga serikali juu ya mambo mbalimbali yanayotokea nchini kwa sasa!mimi ninachofahamu chadema ni chama cha kisiasa na kinafanya kazi ya kisiasa kama wao ccm wafanyavyo wakati huu wakizunguka mikoa mbalimbali kunadi zana yao ya kujivua gamba!nani aliwambia kuwa watanzania watakuwa wajinga milele?you can full some people sometime but you cant full all people all the time!
 
imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa serikali kuiraumu chadema kwa kila jambo linalojitokeza nchini eti wanasiasa wachama furani ndio wa wanaowachochea wananchi kuipinga serikali juu ya mambo mbalimbali yanayotokea nchini kwa sasa!mimi ninachofahamu chadema ni chama cha kisiasa na kinafanya kazi ya kisiasa kama wao ccm wafanyavyo wakati huu wakizunguka mikoa mbalimbali kunadi zana yao ya kujivua gamba!nani aliwambia kuwa watanzania watakuwa wajinga milele?you can full some people sometime but you cant full all people all the time!

mkuu umenena vizuri sana

nyambari hawajambo
 
Ukiona hivyo ujue chema chajiuza kibaya chajitembeza.ccm wanaogopa kivuli chao wenyewe.
 
kwa serikali ya kihuni hata matamshi yao ni ya kihuni tu
 
imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa serikali kuiraumu chadema kwa kila jambo linalojitokeza nchini eti wanasiasa wachama furani ndio wa wanaowachochea wananchi kuipinga serikali juu ya mambo mbalimbali yanayotokea nchini kwa sasa!mimi ninachofahamu chadema ni chama cha kisiasa na kinafanya kazi ya kisiasa kama wao ccm wafanyavyo wakati huu wakizunguka mikoa mbalimbali kunadi zana yao ya kujivua gamba!nani aliwambia kuwa watanzania watakuwa wajinga milele?you can full some people sometime but you cant full all people all the time!

good trial
 
tatizo la ccm ni ushirikina na mganga wao kafa.kila wakipata tatizo wanadai cdm
 
walizoea kuona vyama vya siasa wakati wa uchaguzi tu lakini safari hii kila siku ni siku ya kampeni.japokuwa kampeni ya wakati huu ni kwa ajili ya kutoa elimu ya uraia ili 2015 uchaguzi uwe kama kumsukuma mlevi.
 
imekuwa ni kawaida kwa viongozi wa serikali kuiraumu chadema kwa kila jambo linalojitokeza nchini eti wanasiasa wachama furani ndio wa wanaowachochea wananchi kuipinga serikali juu ya mambo mbalimbali yanayotokea nchini kwa sasa!mimi ninachofahamu chadema ni chama cha kisiasa na kinafanya kazi ya kisiasa kama wao ccm wafanyavyo wakati huu wakizunguka mikoa mbalimbali kunadi zana yao ya kujivua gamba!nani aliwambia kuwa watanzania watakuwa wajinga milele?you can full some people sometime but you cant full all people all the time!

Hongera kwa kuwa mmoja wa wale walionusurika katika uvamizi wenu wa Nyamongo. Sasa mbunge mmepigia nini?
 
Back
Top Bottom