Kwanini kila IGP anatoka mkoa Mara tu?

Kwanini kila IGP anatoka mkoa Mara tu?

kila watu na weledi wao katika kila jambo huwezi kuwa mchunga ng'ombe upewe kazi ya shamba au mlinzi ukawe daktari haiwezekani. Suala la ukabila halipo maana hata hao IGPs waliopita sio wote kutoka mara
 
Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu?

Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma?

Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Umeona wakurya wawil tu umeanzisha uzi, Kwa hiyo tangia nchi hii ipate uhuru ma-IGP ni wakurya? Msukuka gani amewahi kuwa IGP? Kwl kanda ya ziwa mmelogwa na Magu na mkalogeka. Hamuoni ht aibu? Akili zenu zina funza> Ma-IGP tangia baada ya Muungano 1964 ni kama ifuatavyo:
1.Elangwa N.Shaidi(1964-1970)
2.Hamza Aziz (1970-1973
3.Samwel H. Pundugu (7/8/1973 – aug 1975)
4.Philemon N. Mgaya (8/8/1975 – Nov 1980)
5. Solomon Liani (1/12/1984 – 3/5/1996)
6. Omary Maita ( 4/5/1996 hadi 2/3/2006)
7.Saidi A Mwema (3/3/2006 – 30/12/2013)
8.Ernest Mangu ( 01/01/2014 – 29/05/2017)
9.Simon Sirro (29/05/2017 - 20/07/2022)
10. Camilius M. Wambura (20/07/2022 - mpaka sasa)
Tatizo lenu ni washamba mnashanga vitu vidogo sana sijui ulikuwa unataka kujenga hoja gani. Niambie hao wote ni Wakurya? Kuna wasukuma wangapi kwenye hiyo list? Na je Mjita ni nani? Mngetoaga mawaziri wakuu kama kanda ya kaskazini mngekuwaje? Mngekuwa mnajinyea hadharani? Mleta uzi unajiaibisha na unaaibisha kabila lako na kanda ya ziwa yote. Tunawaambiaga nyie ni washamba hamuelewagi kwanini, vichwa vyenu vina kwashiakor?
 
Swala sio watu wa Mara na Wasukuma. Swala ni kua ndio watu wanaofit izo nafasi vizuri
Km wanafit walikuwa wapi siku zote? Hicho cheo haijaanza jana wala juzi ni tangia baada ya uhuru. Makabila mengine mbona yametulia mnawashwa na nini? Tigo?
 
  • hakuna lolote wakurya wambea kibao tuko nao huku mitaani!
  • Ni kwamba hawapendi shule, Kazi yenye afadhali Kwa wàsiopenda shule ni Uaskari!,Jiulize kwa nini watani zao Wahaya wengi Maprofesa huku wakurya wengi wanaishia kuwa maaskari!
Hivi wakurya unawajua vizuri kweli mkuu?
Labda nikusaidie kukupa records za hao jamaa.
Shule ipo sana kule kuliko hata hao unaowasifia.
 
Hivi wakurya unawajua vizuri kweli mkuu?
Labda nikusaidie kukupa records za hao jamaa.
Shule ipo sana kule kuliko hata hao unaowasifia.
-Sasa hiyo thread uliyoleta ndiyo research inayoonyesha Wakurya ni Wasomi? hiyo si hata Mimi naweza nikaandika!
 
Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu?

Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma?

Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Jeshi toka enzi za Nyerere lina watu wathubutu ambao ni wa Kanda ya Ziwa, walitangulia kujaa jeshini, hata huko Zanzibar ni wao na Wala si dhambi, wewe unateseka nini? Unategemea mdigo, msambaa, mkwere,mdharamo jeshini na akavumilia msoto mpaka ajae nyota mabegani?
 
Hii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu?

Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma?

Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Kuna mengi zaidi yanaweza ibuka
IMG-20220718-WA0099.jpg
 
Mamwinyi (Wanaume wa Mikoa ya Mwambao wa Pwani ) hawawezi kugangamala na kuhimili hekaheka za kazi za kijeshi!
 
Back
Top Bottom