Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,303
Mkuu Pascal Mayalla kuna watu wana maswali hapa naomba ulete ule uzi wako uwakumbushe
Kanda ya ziwa ndiyo kuna watu wenye akili na uzalendo, kanda zingine ni uvivu na wizi ndiyo vimejaaHii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu?
Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma?
Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Kiasili hayo ni makabila Yenyewe msimamo sana hasa kwenye uongozi, na hawatoi siri hovyo hovyo
Kanda ya ziwa ndiyo kuna watu wenye akili na uzalendo, kanda zingine ni uvivu na wizi ndiyo vimejaa
Zack zoka - MndengerekoMangu Singida moja
Mahita Morogoro moja
Mahundi Kilimanjaro moja
Mwamunyange Mbeya
Mboma mbeya
Mzena Iringa
Mahiga Iringa
DGTISS mpare
Jack Zoka
...
Kipilimba Morogorl
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Una uhakika
- Hawapendi shule ndiyo maana wanakumbilia uaskari, hawana reasoning wanapenda kutumia nguvu bila akili Watu WA Mara
- Kanda ya ziwa Wenye akili ni Wahaya tu
Ndiyo,matukio Mengi ya uvunjifu wa haki za binadamu yanatokea Mkoa wa Mara, na hiyo inachangiwa na reasoning yao ndogo kwenye kufanya maamuzi, badala ya kutumia akili wanakatana mapangaUna uhakika
mwema-mchaga.
mahita-mpogolo
mangu-mnyiramba
mwamunyange-mnyakyusa.
mabeyo-msukuma.
Ndg yangu mtoa mada, Vyeo vya Kijeshi havitolewi kwa ajiri ya kuwafurahisha raia/watu, bali ni kwa merit na seniority. So, Kama wewe unakaa na kukuna nazi na kusukuma chapati nani akuteuwe kuwa Mkuu wa Jeshi lolote hata la Sungusungu...




nimecheka sanaaaaMleta mada nenda ukaolewe na Wajita na Wasukuma ukizaaa mtoto atakuwa amefaulu kuwa IGP nawe utakuwa mama IGP.
Ila JF imejaa wachekeshaji wengi sana 
Murillo =moto tafsiri kwa kikuryaHii imekaaje wadau Kila cheo jeshini ni Wakurya na Wasukuma tu?
Huko Polisi na Jeshi ni wakurya tu, wakifuatiwa na Wajita na Wasukuma?
Kulikoni? Kwamba Rais hakuona mikoa mingine ya kutoa IGP hadi iwe mara tu?
Murrilo.Katika historia ya Jeshi la Polisi ni MAIGP WAWILI TU NDIO WAMETOKA MKOA WA MARA.
SIRRO na WAMBURA.
Kama yupo mwingine mtaje.
Murrilo amekuwa IGP mwaka gani ww mwehu???Murrilo.