Kwanini Kila Hotuba ya Rais Magufuli lazima kuna watu kazi yao ni kuikosoa na kupinga tu??

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,354
Nikila nikifungua mitandao siku hizi naona kuna kampeni kubwa ya kikundi cha watu kupinga na kukosoa kila anachofanya Mh Rais Magufuli

Nadhani hata hata Yasu alipata upinzani mkali sana toka Katika Utawala wa Herode na Kaisari na wanasheria wao kwa kuwa Yesu alipata wafuasi wengi na wengi walimuamini na kuponywa magonjwa yao.

Sasa kwa Rais Magufuli amekuwa akijitoa kwa hali na Mali kuikoa nchi toka ktk makucha ya manyang'au na mafisadi walikuwa wanaihujumu nchi kwa bila za kila aina kuhakikisha wanaendelea kunufaika na Rais Magufuli anasema No.

Na hapo ndipo shida inapoanzia ya kuanza kupingana kimaslahi.

Rais Magufuli kiukweli ameliokoa Taifa kutoka ktk makucha ya Simba wanaorarua hata Watoto wachanga,wajawazito,wazee,vilema,n.k kwa nguvu zote ilimradi tu wale nyama.

Tunasema Rais tuko Pamoja ktk juhudi zako mpaka tone la Mwisho la damu kulinda Maslahi ya nchi hii.
 
Nikila nikifungua mitandao siku hizi naona kuna kampeni kubwa ya kikundi cha watu kupinga na kukosoa kila anachofanya Mh Rais Magufuli

Nadhani hata hata Yasu alipata upinzani mkali sana toka Katika Utawala wa Herode na Kaisari na wanasheria wao kwa kuwa Yesu alipata wafuasi wengi na wengi walimuamini na kuponywa magonjwa yao.

Sasa kwa Rais Magufuli amekuwa akijitoa kwa hali na Mali kuikoa nchi toka ktk makucha ya manyang'au na mafisadi walikuwa wanaihujumu nchi kwa bila za kila aina kuhakikisha wanaendelea kunufaika na Rais Magufuli anasema No.

Na hapo ndipo shida inapoanzia ya kuanza kupingana kimaslahi.

Rais Magufuli kiukweli ameliokoa Taifa kutoka ktk makucha ya Simba wanaorarua hata Watoto wachanga,wajawazito,wazee,vilema,n.k kwa nguvu zote ilimradi tu wale nyama.

Tunasema Rais tuko Pamoja ktk juhudi zako mpaka tone la Mwisho la damu kulinda Maslahi ya nchi hii.
Ungeeleweka tu bila hata kutumia mfano wa YESU. Kama kila atakachoongea Rais halafu kukawa na watu wale wale wanaopinga basi hao watu wana matatizo. Na pia kama kila atakachoongea Rais halafu kukawa na watu wale wale wa siku zote kazi yao ni kusifia tu basi ujue na hao wana matatizo. Kusifu na kupinga ni kawaida ila haifai mtu au watu fulani kazi yao ni kupinga tuu au kusifia tuu.
 
Labda huwa anatoa hotuba ambazo zinakosoleka kirahisi, zenye mapungufu na ukakasi mwingi.

Anaweza kuwa na nia nzuri ya kuleta maendelo lakini kuna saa huwa anaharibu akifungua kinywa chake.:rolleyes:
 
Kama ulivyo na kazi ya kusifu tu though wanao wanalala njaa, wengine kazi yao ni kuangalia makosa kwenye hotuba za hao viongozi for a sake of KUREKEBISHA penye makosa.

Endelea kusifu mwanawane
UKISHAREKEBISHA MAKOSA YA HOTUBA NDIO WATOTO WAKO WANASHIBA??????
 
Nikila nikifungua mitandao siku hizi naona kuna kampeni kubwa ya kikundi cha watu kupinga na kukosoa kila anachofanya Mh Rais Magufuli

Nadhani hata hata Yasu alipata upinzani mkali sana toka Katika Utawala wa Herode na Kaisari na wanasheria wao kwa kuwa Yesu alipata wafuasi wengi na wengi walimuamini na kuponywa magonjwa yao.

Sasa kwa Rais Magufuli amekuwa akijitoa kwa hali na Mali kuikoa nchi toka ktk makucha ya manyang'au na mafisadi walikuwa wanaihujumu nchi kwa bila za kila aina kuhakikisha wanaendelea kunufaika na Rais Magufuli anasema No.

Na hapo ndipo shida inapoanzia ya kuanza kupingana kimaslahi.

Rais Magufuli kiukweli ameliokoa Taifa kutoka ktk makucha ya Simba wanaorarua hata Watoto wachanga,wajawazito,wazee,vilema,n.k kwa nguvu zote ilimradi tu wale nyama.

Tunasema Rais tuko Pamoja ktk juhudi zako mpaka tone la Mwisho la damu kulinda Maslahi ya nchi hii.
Kujitoa kwa hali na mali kuokoa nini? Mkaguzi wa hesabu za serikali kakuta madudu mengi ya wizi wa pesa za umma kuliko hata kipindi cha JK , hujuma bado zipo na huko kusema No ni kwa wengine mbona yy na Madalali GSM wamenunua ndege kwa cash na 10% yake imepitishiwa kwa Bashite Daud? Mwenye vyeti feki sasa ndiyo mshauri wake mkuu, tone la damu ipi mwisho? Acha kuishi kwa kukariri propaganda za CCM tambua kuwa Nchi bado inatafunwa kama mchwa na pesa za Tetemeko Bukoba zilichukuliwa kienyeji kwenda chato na sasa bila Bajeti bungeni uwanja wa ndege chato unajengwa kwa pesa nyingi.
 
Acha tumkosoe bhana, amezidi mno kuongea pumba.

Eti fyatueni watoto nitawasomesha bure........anafikiri mahitaji ya mtoto ni elimu ya bure tu?
 
Nikila nikifungua mitandao siku hizi naona kuna kampeni kubwa ya kikundi cha watu kupinga na kukosoa kila anachofanya Mh Rais Magufuli

Nadhani hata hata Yasu alipata upinzani mkali sana toka Katika Utawala wa Herode na Kaisari na wanasheria wao kwa kuwa Yesu alipata wafuasi wengi na wengi walimuamini na kuponywa magonjwa yao.

Sasa kwa Rais Magufuli amekuwa akijitoa kwa hali na Mali kuikoa nchi toka ktk makucha ya manyang'au na mafisadi walikuwa wanaihujumu nchi kwa bila za kila aina kuhakikisha wanaendelea kunufaika na Rais Magufuli anasema No.

Na hapo ndipo shida inapoanzia ya kuanza kupingana kimaslahi.

Rais Magufuli kiukweli ameliokoa Taifa kutoka ktk makucha ya Simba wanaorarua hata Watoto wachanga,wajawazito,wazee,vilema,n.k kwa nguvu zote ilimradi tu wale nyama.

Tunasema Rais tuko Pamoja ktk juhudi zako mpaka tone la Mwisho la damu kulinda Maslahi ya nchi hii.

Kila Hotuba ya Rais ipo open to public scrutiny and critique, ni jambo la hatari sana kujenga utamaduni wa kusifia bila kukosoa kwani tutafikia viwango vya Korea ya Kaskazini bila kutarajia. Suala la uhuru wa maoni ni lazima lipewe kipaumbele wakati wote, atuhitaji kusifiana hapa bali kusaidiana mawazo ili taifa lisonge mbele. kikubwa kwa serikali ni kutekereza sera ilizojiwekeaa na kutumia ushauri au maoni ya wananchi wanaoikosoa kama itaona inafaa. Tuepuke kupromote tabia ya kukosoa wanaokosoa hotuba za kiongozi wa nchi kwani ni ujinga wa kiwango cha lami
 
MNA njaa mnataka Mimi nikawapikie.
Bhado utalaumu tukikosoa?
Wasukuma wawili wote Akili zao zinafanana hata huyo msukuma wa kolomije akiongea mbele za watu lazima atoe vioja, PhD ya kisukuma na vyeti Feki ni kombinenga hatari kwa sasa ndiyo maana wakaacha kwenda kuaga Miili ya marehemu Asikari wetu 8 wakaenda kufingua jengo wanaongoza Nchi kienyeji sana kama Bashite anavyoamini waganga wa kienyeji watamlinda mpaka 2020
 
Back
Top Bottom