Ni kweli kabisa unachosema,na siyo ku rush tu ktk kuandaa hotubaNalijua hilo Na ndiyo maana tuna toa Reference ambayo inaweza kutumika 'A President is a public figure so when Addressing The nation his speech has to be prepared in Advance, Though he may add something accordingly'
Mbona mkuu hutaki kusoma A_Z?Kujitoa kwa hali na mali kuokoa nini? Mkaguzi wa hesabu za serikali kakuta madudu mengi ya wizi wa pesa za umma kuliko hata kipindi cha JK , hujuma bado zipo na huko kusema No ni kwa wengine mbona yy na Madalali GSM wamenunua ndege kwa cash na 10% yake imepitishiwa kwa Bashite Daud? Mwenye vyeti feki sasa ndiyo mshauri wake mkuu, tone la damu ipi mwisho? Acha kuishi kwa kukariri propaganda za CCM tambua kuwa Nchi bado inatafunwa kama mchwa na pesa za Tetemeko Bukoba zilichukuliwa kienyeji kwenda chato na sasa bila Bajeti bungeni uwanja wa ndege chato unajengwa kwa pesa nyingi.
Sitaki kuingia ktk specific issues Mimi nimeongea kwa ujumla baada ya observation yangu ya muda sasa naona kila hotuba kuna kikundi kunatafuta chochote cha kumpinga.na kuanzisha mada.KUMBE WANAKOSOA!. Unajua maana ya kukosoa? Toa mfano wa vipengele katika hotuba zake vilivyokosolewa japo viwili, kisha ueleze kwa nini unaona wanakosoa isivyo halali. Naomba utoe mifano miwili ya vipengele katika hotuba vilivyopingwa na useme kwa nini havikutakiwa kupingwa au kwa nini viliatakiwa kuungwa mkono.
Tuanzie hapa!
Sitaki kuingia ktk specific issues Mimi nimeongea kwa ujumla baada ya observation yangu ya muda sasa naona kila hotuba kuna kikundi kunatafuta chochote cha kumpinga.na kuanzisha mada.
Duh! unaweza kuuliza tena kwa kizaramo? Maneno maguuumuuuuu utadhani scientific name?Hivi report ya CAG inahusu kipindi kipi 2015/2016 au 2016/2017?Na je ni misallocation au frauds?Je ni lack of proper evidence au misaapropration of funds?
Halafu soma mada vizuri,nimesema kwanini siku hizi kila hotuba ya Rais Magufuli kuna kikundi cha watu kazi kupinga na kukosoa tu.Unahitaji kuwa specific. Kama huna specific examples, how can we discuss the unknown? What I know no one is perfect kitu ambacho pia hata raisi Magufuli na binadamu mwingine yeyote tunaangukia katika hilo kundi. Kama naye ni binadmu kwamb kuna siku anaweza kukosea, wewe una msingi gani wa kulazimisha watu wote wasiyaone makosa yake? Au umesahau kwamba ni binadamu pia anastahili kukosolewa pale anapokosea?
Ungekuja na specific cases, tungepata sehemu za kujadili kuona kwa nini kakosolewa ki makosa ama kwa haki.
Asiyekosolewa ni Mungu Pekee!. Unalijua hilo? Na hiyo ni kwa sabbu Yeye ni Mungu hana anachoweza kukosea.
Halafu soma mada vizuri,nimesema kwanini siku hizi kila hotuba ya Rais Magufuli kuna kikundi cha watu kazi kupinga na kukosoa tu.
Tofautisha sana na MTU kukosolowe kawaida.Nasema kazi yao kupinga na kukosoa kila hotuba anayoitoa Rais.
Je ktk hotuba za Rais hakuna hata nzuri moja ila kwao yote ni mabaya tu ya kupingwa na kukosolowa????
Napinga kwa 100% na kikundi hili kwa hii kampeni kwasababu hata kama kuna kuna madhaifu ya kibinadamu sikatai lakini kwa kupingwa na kukosolowa huku it is too much ..Haikubaliki