Kwanini kazi za IT zinadharauliwa?

Israel

Senior Member
Apr 9, 2012
170
39
Habari wakuu

Kumekuwa na tabia ya kudharau kazi za IT katika makampuni mbalimbali hata Telecom wakati ukiangalia IT ndio backbone ya business katika iyo kampuni.

Unafikiri tatizo ni nini haswa? Maana kwa wenzetu ulaya au kampuni za wazungu naona hakuna hii tabia
 
Habari wakuu.Kumekuwa na tabia ya kudharau kazi za IT katika makampuni mbalimbali hata Telecom wakati ukiangalia IT ndio backbone ya business katika iyo kampuni.Unafikiri tatizo ni nini haswa?Maana kwa wenzetu ulaya au kampuni za wazungu naona hakuna hii tabia
Hakuna kazi inayofanikiwa pasipo kutegemea kazi nyingine.

Hapa namaanisha kwamba, hakuna kazi ya muhimu inayoweza ikafanikiwa pasipo kupata support kutoka kwenye kazi nyingine.
And always, mafanikio ya kampuni/kiwanda/organization/biashara and ect: hutokana na mchango wa kila kitengo/idara/kazi na hata mtu mmoja mmoja.

Ninacho kiona kwako ni kwamba, unadhani eti IT ni kazi ya muhimu sana kuliko kazi zingine na hali hii inmepelekea akili yako kujidanganya kwamba una deserve kulipwa pesa nyingi kuliko wengine (pole).

Tatizo vijana mnatamani sana mafanikio ya haraka, na inapofikia ukajifananisha na ulaya.... Basi nikujibu tu kwamba, nivyema basi ukatafuta kazi huko Ulaya.
 
Tanzania telecom campany limited ;

Telecommunications engineering, electrical engineering's, compt engineering, ndo backbone ya company type ya hizo

Sisi IT na Bcs comp: tuendeelee Ku administer system and database ,LAN ,
 
Hakuna kazi inayofanikiwa pasipo kutegemea kazi nyingine.
Hapa namaanisha kwamba, hakuna kazi ya muhimu inayoweza ikafanikiwa pasipo kupata support kutoka kwenye kazi nyingine...
maybe or maybe not. but ulimwengu unapoelekea IT industry inazidi kukua. ikichangiwa na kuwa kwamba unaenda ku rely kwenye ifrastructures ambazo ji computerized.

maybe for now si muhim sana. yes kuna sekta muhimu zaid.
but in the future that could change. very fast
 
maybe or maybe not. but ulimwengu unapoelekea IT industry inazidi kukua. ikichangiwa na kuwa kwamba unaenda ku rely kwenye ifrastructures ambazo ji computerized.

maybe for now si muhim sana. yes kuna sekta muhimu zaid.
but in the future that could change. very fast
Tatizo la sisi kibongo bongo wana iT na career ya it kwa ujumla wanachukulia it ni kazi za ujanja unaja mwingi na wizi. Sehemu nyingi wanakuwa hawawatambui kama watu muhimu na it professional
 
Tatizo la sisi kibongo bongo wana iT na career ya it kwa ujumla wanachukulia it ni kazi za ujanja unaja mwingi na wizi. Sehemu nyingi wanakuwa hawawatambui kama watu muhimu na it professional
maybe you have a point. nafikiri kwa hapa kwetu ni practicality ya kitu chenyewe. we all know wengi wanaosoma wanaishia kufanya IT light jobs.
sio zile heavy deep works.

mitaala, mahitaji ya hao watu.. na hali ilivyo vinachangia kufanya waonekane hawana kitu
 
maybe you have a point. nafikiri kwa hapa kwetu ni practicality ya kitu chenyewe. we all know wengi wanaosoma wanaishia kufanya IT light jobs.
sio zile heavy deep works.

mitaala, mahitaji ya hao watu.. na hali ilivyo vinachangia kufanya waonekane hawana kitu
Mtu unamkuta yupo deep kwenye mambo ya networking ila ndo makazini wanaishia tu kuingiza taarafa kwenye database. At the same time zikitokea kazi zinazohusiana na networking wanapewa campany za nje(binafsi) na nyingi zaid ni zakigeni ndo zinafanya kaz..

Bongo tuna wana it wengi na taasisi kubwa zinazofanya kazi za it lakini cha kushangaza system nyingi za serikali na taasisi zinaenda kutengenezwa nje.

Swali ni je? Hizo system Wanazopewa watu wa nje kuzifanya sisi hapa ma it wetu professional hawawezi kufanya hizo kaz
 
Mtu unamkuta yupo deep kwenye mambo ya networking ila ndo makazini wanaishia tu kuingiza taarafa kwenye database. At the same time zikitokea kazi zinazohusiana na networking wanapewa campany za nje(binafsi) na nyingi zaid ni zakigeni ndo zinafanya kaz..

Bongo tuna wana it wengi na taasisi kubwa zinazofanya kazi za it lakini cha kushangaza system nyingi za serikali na taasisi zinaenda kutengenezwa nje.

Swali ni je? Hizo system Wanazopewa watu wa nje kuzifanya sisi hapa ma it wetu professional hawawezi kufanya hizo kaz

Point nzuri sana.Hili ni jambo la kuangaliwa,Marehemu Magufuli alikuwa analifanyia kazi ili
 
Tatizo si kudharauliwa,bali wengi wenye hizi elimu zinazohitaji vitendo zaidi hawazitendei haki,unakuta mtu anacheti kizuri,ila kwenye utekelezaji hakuna kitu. Jiulize swali, mbali na kuajiriwa, hiyo fani yako inakuwezesha kufanya nini?
 
Back
Top Bottom