Kwanini Januari Makamba anawatesa

Utawala wa magufuli wanamchukia na ndio fitna mkubwa waliiofanya ukawa kushindwa 2015 Kwa kuiba kurwa ikishirikiana Nape,Mwigulu.Kinana,na wenzake wote wamefukuza bado yeye anatafutiwa kosa ila naye amechaligundua ndio yupo kimya
wakimfukuza watamuweka nani? Makonda?
 
Utawala wa magufuli wanamchukia na ndio fitna mkubwa waliiofanya ukawa kushindwa 2015 Kwa kuiba kurwa ikishirikiana Nape,Mwigulu.Kinana,na wenzake wote wamefukuza bado yeye anatafutiwa kosa ila naye amechaligundua ndio yupo kimya
Hivi unaamini magufuli anaweza akashindwa kumtoa? Magufuli na January ni marafiki wakubwa tofauti na wewe unavyowaza
 
Mmeshaanza pumba za kusifiana humu, muda ukifika wagombea watajitokeza na walio na weledi na kazi hiyo watapitishwa, hakuna sababu ya kuwashwa washwa
 
Ila nimemuona juzi ile siku ya maadhimisho ya muungano kwa kweli kapungua sana sijui anasumbuliwa na nini kakonda hadi uso
 
mzee umesahau ya viroba
 
January sio mtendaji hata kidogo, anajitahidi kuongea kwa busara, ila busara sio maendeleo, hatuhitaji mtu wa busara, tunahitaji mchapa kazi kama Mh Rais wetu JPM...!! Busara, au sijui maneno mazuri apeleke kwa mke wake na vimada wake.. Hapa Kazi Tu
 
Mbona povu linakutoka
 
Kuna ile ishu ya dada yake kudanga na mzungu na wakatengeneza deal wakapiga 1.nakitu milion dollars ili kampuni ya mzungu ipate tenda bagamoyo kule ila sio kesi wote tunafanya makosa lakini
 
Kifahamu CCM vizuri - kiko tofauti sana:-
Wakati Nyerere anang'atuka wengi walidhani Rais angekuwa PM wake lkn akaibuka na Mwinyi,
Wakati Mwinyi anang'atuka tukadhani Kikwete/Salim mmoja angekuwa Rais lkn akaibuka Mkapa,
Wakati Mkapa amemaliza watu wakadhani Salimu/Mwandosya lkn akapewa JK,
Wakati JK anang'atuka watu wakadhani Lowassa lkn akaibuka JPM

CCM hakipangiwi hata ung'ae kama dhahabu CCM inang'aa zaidi
Awe tayari kupokea matokeo - bahati nzuri kwake iwe JPM afanikiwe asipofanikiwa baraza lake lote halitapewa dhamana ya uongozi tena
 
Haya ni matusi eti january naye anafaa kuwa rais? Kweli ccm imekufa
Labda kama hawamjui huyo kijana!
 
hatutaki mtu sijui mstaarabu,sijui mwadilifu,huo uadilifu apeleke kwenye family yake,baada ya jpm,tunaweka kitu kingine mfano mkuchika,au lugola
 
Sijawai kuwaelewa walimu ni watu wasiojielewa ikiwemo na huyu mleta mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…