kwanini jamani wanaume mnafanya hivi???

kwanini jamani wanaume mnafanya hivi???

Habari yako dada Naureeen!Nataka nikwambie jambo ambalo litakusaidia,Mara nyingi sisi wanaume kabla hatujatongoza huwa tunatamani kwanza kulingana na muonekano wa nje wa mwanamke!na kwa kawaida mwanamke ameumbwa maringo kwanza, hakubali kirahisi hata siku moja! Wakati mwanaume anaendelea kumfuatilia demu anaongeza mapozi na kujifanya hataki mara aku-bomu hela, nitumie salio na vitu ka izo! Sasa siku anapokuja mwanaume kugundua mapungufu yake,historia yake anakuta mwanamke huyo ameshakuwa na mahusiano na zaidi ya wanaume 5 kama wewe mwenyewe ulivyosema! Ki-ukweli mwanamke anaweza kumtafuta mchawi kumbe tatizo ni la kwako mwenyewe! Mara nyingi wanaume tunakata tamaa baada ya kumfuatilia demu mda mrefu kumbe alikuwa anaku-ectia tu! Mf unamwambia naomba leo jioni tuonane ninamaongezi! Anakujibu usiku huwa sitoki! Wakati huo huo ww umeshagundua kuwa anaweza kutoka vizuri tu na pengine yeye mwenyewe anajichanganya jambo kumbe alivyokwambia mwanzo sivyo! Jaribuni kujichunguza ninyi wenyewe kabla hamjatupa lawama! wewe mwenyewe hebu fikiria umeachana na wanaume watano af wote wapo hivyo hivyo, hujiulizi? Wewe ndo unamatatizo unapaswa kubadilika dada! NB:hayo ni mawazo yangu you can have your own!
 
mi ambacho hapo bado napinga ni kwamba muda mwingine hata hujamvulia nguo na anafanya hivo...nikaanza kuhisi mwenyewe kichwani labda wanaume hawapendi kupendwaaa au???yani kama mwanamke akimtafuta sana yeye analoose interest!![/QUOT

Tatizo mnakuwa kama mnaboa kupigapiga cmu bila mpango!!! Ila co kweli hatupendi kupendwa mi binafsi napenda kupendwa!!!
 
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.

Ukiona hali kama hii ujue alicho kuwa anatarajia toka kwako sicho anacho kipata full stop!
 
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.

Nimesha kula mzigo nianze kujiweka kwako tena ya nini, hapo majeshi yamehamishiwa kiwanja kingine.
 
Njoo kwangu upate pumziko,mm nilidhani wenye tabia hiyo ni wanawake tu,maana demu wangu ananitenda so mm na ww tuta match

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mm ikitokea nikafanya hvyo ni kwa:
1. Sababu ya aina ya mapenzi anayonionyesha, hayatoshi kunifanya nijitoe kiasi hicho
2. Usumbufu alionipa hauendani na alicho nacho moyoni (nilichokikuta)
3. Makucha aliyokuwa ameyaficha
4. Nk
Lkn nakua nampenda, ndio ila hanifanyi nikafikia hatua ya kufanya uyasemayo.
 
Kwa ufupi, chanzo lazima kinakua kwako ww unaefanyiwa hayo, jichungunze kwanza kabla hujaanza kumdhania yeye
 
Habari yako dada Naureeen!Nataka nikwambie jambo ambalo litakusaidia,Mara nyingi sisi wanaume kabla hatujatongoza huwa tunatamani kwanza kulingana na muonekano wa nje wa mwanamke!na kwa kawaida mwanamke ameumbwa maringo kwanza, hakubali kirahisi hata siku moja! Wakati mwanaume anaendelea kumfuatilia demu anaongeza mapozi na kujifanya hataki mara aku-bomu hela, nitumie salio na vitu ka izo! Sasa siku anapokuja mwanaume kugundua mapungufu yake,historia yake anakuta mwanamke huyo ameshakuwa na mahusiano na zaidi ya wanaume 5 kama wewe mwenyewe ulivyosema! Ki-ukweli mwanamke anaweza kumtafuta mchawi kumbe tatizo ni la kwako mwenyewe! Mara nyingi wanaume tunakata tamaa baada ya kumfuatilia demu mda mrefu kumbe alikuwa anaku-ectia tu! Mf unamwambia naomba leo jioni tuonane ninamaongezi! Anakujibu usiku huwa sitoki! Wakati huo huo ww umeshagundua kuwa anaweza kutoka vizuri tu na pengine yeye mwenyewe anajichanganya jambo kumbe alivyokwambia mwanzo sivyo! Jaribuni kujichunguza ninyi wenyewe kabla hamjatupa lawama! wewe mwenyewe hebu fikiria umeachana na wanaume watano af wote wapo hivyo hivyo, hujiulizi? Wewe ndo unamatatizo unapaswa kubadilika dada! NB:hayo ni mawazo yangu you can have your own!


its ok thats why nimekuja kwenu kuomba ushauri ni vigumu sana kugundua kama una mapungufu..na nadhani hujanielewa kuhusu hao wanaume wa5 sio kwamba nimetembea nao ila wengine wamenitongoza na baada ya kuona hzo drama b
za kunikimbia zinaanza na mi nakimbia so hata idadi inakuwa kubwa niliyokutana nayo ya wanaume type hzo,all in all thanks for your advice my dear
 
mi ambacho hapo bado napinga ni kwamba muda mwingine hata hujamvulia nguo na anafanya hivo...nikaanza kuhisi mwenyewe kichwani labda wanaume hawapendi kupendwaaa au???yani kama mwanamke akimtafuta sana yeye analoose interest!![/QUOT

Tatizo mnakuwa kama mnaboa kupigapiga cmu bila mpango!!! Ila co kweli hatupendi kupendwa mi binafsi napenda kupendwa!!!


ok thanks....umezidi kunisaidia
 
Nimesha kula mzigo nianze kujiweka kwako tena ya nini, hapo majeshi yamehamishiwa kiwanja kingine.


sometimes hata huo mzigo hujala..tena bora uwe umekula ntajua sababu ni nini!!
 
Mm ikitokea nikafanya hvyo ni kwa:
1. Sababu ya aina ya mapenzi anayonionyesha, hayatoshi kunifanya nijitoe kiasi hicho
2. Usumbufu alionipa hauendani na alicho nacho moyoni (nilichokikuta)
3. Makucha aliyokuwa ameyaficha
4. Nk
Lkn nakua nampenda, ndio ila hanifanyi nikafikia hatua ya kufanya uyasemayo.


so unataka kuniambia nina muonekano ambao matendo yangu hayapo hvo basi...dahh ubinadamu kazi kwakweli i wish hata ningekuwa nasomeka tu kama nilivo kwani muonekano wangu unavuta sana watu kiasi kwamba naumiza kichwa changu kufikiria wanafataga nni??
 
Mwanamme wa kweli na anaekupenda kweli atapenda sms zako hata mukiwa pamoja miaka 20.

Na msg zako wakati wote atazisoma kwa makini na kukujibu vizuri.

Huyo ni playboy,


samoe...mi hapo ndo nnapozidi kuchanganyikiwa basi niseme sijakutana na mtu wa type yangu kama we ni mwanaume na unasema mwanaume anaekupenda atapenda sms zako hata mkizeeka na wengine wanasema wanaume hawapendi kutumiwa tumiwa meseji we huoni kama mi hapo nakuwa sikutani na wa type hyo ambayo mi npo so kuokoka itabidi ni learn kuishi kama ye atakavokuwa anataka.....first approach itabidi nisimtumie tumie msg hadi mwenyewe atakapolalamika simkumbuki.
 
Pole mdada,si kweli kwamba wanaume wote hawapendi,wapo wanaopenda,ingawa si rahisi kujua yupi anapenda na yupi anatamaa.kama akikupata akiwa na tamaa siku akimpata mwingine ujue wewe ndo basi lakin hawez kukutamkia kuwa amekuacha ila viashiria ndo kama hivyo mawsilino kupungua na si lazima uwe umeshamvulia nguo,wakti mwingine anakuwa nawewe kwakuwa tu hana mwingine mmbadala.ch msingi usioneshe kama unapend sna mana tunatabia ya kuvimba kichwa.akikupotezea na wewe unapotezea usiache mtu aharibu maisha yako kirahisi iko siku utampata anayekupenda kwa dhat ni suala la wkati tu dada.hii nikitu ambayo mimi pia nimekuwa nikifanya huko nyuma lakini sasa nmetulia na nmeridhika na mpenzi wangu wa sasa ingawa mwanzo wamelia wengi,inachukua muda lakini inawezekana.

thanks sana.
 
Naureen kuna ukweli mkubwa hapa! siyo wanaloose interest wanaridhika na wanaaamini kuwa sasa wako salama. lakini walio wengi sio kuwa wankuwa wameacha kukupenda, ila wankuwa wamepata walichotaka, kukimaintain na kujua kuwa wewe unapenda uendelee kufanyiwa hivyo wanaweza kuelewa theoritically siyo practically. Hata anapotaka kukuchumbia, atapiga, ataandika mail, ataandika barua, na kuja mara kwa mara, ukishasema ndio, basi, au akishakuoa, nafsi yake inakuwa amepata alichotaka. So hapo, na wewe inabidi ujitahidi kumchokozachoka mumeo, kila mara na simu,sms, mail ili kulipa gharama za mchakachaka alioupata kukufuatilia.
mi ambacho hapo bado napinga ni kwamba muda mwingine hata hujamvulia nguo na anafanya hivo...nikaanza kuhisi mwenyewe kichwani labda wanaume hawapendi kupendwaaa au???yani kama mwanamke akimtafuta sana yeye analoose interest!!
 
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.

Tatizo ninyi huwa mnaringa na kunata sana wakati tunapowatongoza. Huwa mnakuwa mnampenda mwanaume lakini mkitongozwa mnaanza kutunyanyasa kwa kuringa kurefuuu! Sasa cha ajabu mwishowe mnakubali. Hapo ndipo nasi tuanaanza kupumzika!
 
mi sidhani kama nnakuwa nimechokwa,kwa sababu mwingine hata kuonana unakuwa hujawahi kuonana nae....anakuwa anakutafuta sana pindi tu utakapo anza na ww kumtafuta anaaanza kama kukupush hvi na ukianza na we kumpush anajirudi..sasa mi nachanganyikiwa.
kama unakazi au unasoma assume mpenzi wako ni kazi au masomo yako ukifanya hivyo baadae utampata atakae penda mawasiliano kama ww wanaume wa siku hizi mizinguo tu so usiwaze sana.
 
Tatizo ninyi huwa mnaringa na kunata sana wakati tunapowatongoza. Huwa mnakuwa mnampenda mwanaume lakini mkitongozwa mnaanza kutunyanyasa kwa kuringa kurefuuu! Sasa cha ajabu mwishowe mnakubali. Hapo ndipo nasi tuanaanza kupumzika!


hapo nahisi kama kuna jibu napo.........au unakuwa unaonyesha jinsi ulivokuwa unateseka na mi ni feel huo uchungu eeh!!
 
kama unakazi au unasoma assume mpenzi wako ni kazi au masomo yako ukifanya hivyo baadae utampata atakae penda mawasiliano kama ww wanaume wa siku hizi mizinguo tu so usiwaze sana.

thanx jasx ....kwakweli nadhani ni kama alivosema i must be a woman that a man need and not a woman that needs a man..thanx my dear mi nafanya kai co mwanafunzi
 
dears,mi swali langu ni kwa wanaume na kwa kina dada ambao huwa wanapata shida kama ninayoipata mimi kwa sasa na mara kibao imeshanitokea,unakuta mwanaume akiwa anakutongoza anakuwa yupo hewani muda wote,anapiga,anatext msgs,yani kwa kifupi communication inakuwa ipo juu....anaweza akafanya hvo hata miaka miwili na zaidi....cha kushangaza ni pale tu ambapo mwanamke utaamua kurespond kujibu na kumpigia yaani kumtafuta yeye,pozi zinaanza...unaweza ukamuandikia meseji ndefuuuu ..atakujibu poa...au k!!!!mara anamtext hareply chochote ukimuuliza eti yupo busy.......ukimpigia hapatikan mara simu ilikuwa mbali.....mi kwakweli huwa napata confusion na sijui kama inanitokea mimi tu au ni kawaida...na kama na wengine huwa inawatokea mi napenda nipate jibu kwa wanaume je...huwa shida inakuwa nn au ni nini hiki???huwa inakuwaje hadi inakuwa hvo..ni kwa upendo tu mtusaidie dada zenu,ukimuelimisha mwanamke umeelimisha jamii ,karibuni.


Kumbe hili ni tatizo la wanaume woote?
nilifikiri peke yangu lol
cc snowhite Kaunga Neylu ...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom